Dah sijui ni mimi ila izo nya nya mwanza zingine zinazingua japo ndo sehem za majina ya mji ya asili na kuna mengine ni marefu mno na magum kama ilo NYABULOGOYA lingekua fup kama logoya atlist mda mwingine majina hurudisha hadhi ya sehem nyuma ndo maana maeneo yenye majina mafupi hua yanawahi kujurikana sana nakua maarufu
Aisee misungwi wamepigwa kitu kizito ...Kwa hyo stendi ya nyashishi inafungwaKumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine
Kwa hyo stendi ya kule Kwa Kina bronze .itabaki ya kupaki baiskel zile daladalaKumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine
Naona route mpya Nyabulogoya via Usagara to KisesaKwa hyo stendi ya kule Kwa Kina bronze .itabaki ya kupaki baiskel zile daladala
Sidhani kama hyo itawezekanNaona route mpya Nyabulogoya via Usagara to Kisesa
itafungwa yan mtu aje mjini aongeze gharama ya nauli 500 had nyashishi wakat stand ipo mjn😄😄😄Kwa hyo stendi ya kule Kwa Kina bronze .itabaki ya kupaki baiskel zile daladala
Bado soko
Wamefanya busara na hekima sana kuiacha stendi ya nyabulogoya kuendelea kufanya kazi japo, hata kama stendi ya nyegezi itaanza kufanya kazi, kwasababu kuna watu waliwekeza hapo kujenga maduka na sehemu za kibiashara kama vile migahawa n.k, si vizuri kuterminate kabisaa ni bora waachwe hivyo hivyo na jiji likusanye tena mapato hapo.Kumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine
Kinachochochea route ni mahitaji ya jamii,Sidhani kama hyo itawezekan
Stendi ya nyashishi haiwezi kufungwa na ile inategemewa na halmashauri ya misungwi na wanampango ya kuiwekea miundo mbinu bora kabisa.itafungwa yan mtu aje mjini aongeze gharama ya nauli 500 had nyashishi wakat stand ipo mjn😄😄😄
Ubinafsi wa halmashauri za mwanza ..una madhara sometimes...sa hv utaona halmashauri za mwanza hazitaki kuingiliana kabisa Kila mtu na vitu vyake ,bila kujali kuwa Kuna maamuzi mengine Yana undermine wilaya zingine .mfano suala la stendi...itafungwa yan mtu aje mjini aongeze gharama ya nauli 500 had nyashishi wakat stand ipo mjn
Kwa hyo stendi ya kule Kwa Kina bronze .itabaki ya kupaki baiskel zile daladala
Nyamagana wapo serious sana na stendi yao kuliko ilemela.Wapajenge sasa Hilo vumbi la hapo si poa kwa WAKAZI wa maeneo hayo
Sa hapo nyanshishi nani atabaki wakati nyabulogoya itakuwa activeStendi ya nyashishi haiwezi kufungwa na ile inategemewa na halmashauri ya misungwi na wanampango ya kuiwekea miundo mbinu bora kabisa.
Kuna gari za route ya misungwi zitaendelea kuweka kambi hapo, kuna watu waviunga vya nyashishi lazima wataanzia safari zao hapo either way kurudi town au kwenda huko misungwi na ngudu kwimba.Sa hapo nyanshishi nani atabaki wakati nyabulogoya itakuwa active
Nahisi alimaanisha kimapatoUbinafsi wa halmashauri za mwanza ..una madhara sometimes...sa hv utaona halmashauri za mwanza hazitaki kuingiliana kabisa Kila mtu na vitu vyake ,bila kujali kuwa Kuna maamuzi mengine Yana undermine wilaya zingine .mfano suala la stendi...
Nyamagana walikataa kabisa stendi kujengwa Usagara kisa ipo misungwi ,hawaoni wanaundermine UKUAJI wa mji kuelekea misungwi ,,the same applies Kwa ilemela na kisesa magu ,......sioni umuhimu wa kuwabania misungwi kiasi hicho .......
Leo ilemela na nyamagana Zinafanya project pasipo kushirikiana kabisa wamesahau ni jiji Moja ...nishawahi msikia mkuu wa mkoa aliyepita anasema anatamani kuiona ilemela inakuwa jiji ,nikajiuliza kuna umuhimu Gani wa kuwepo jiji la mwanza .au mwanza jiji haina ilemela ndani yake
Mchawi mapato tu, kila Halmashauri inataka sources zake za mapatoUbinafsi wa halmashauri za mwanza ..una madhara sometimes...sa hv utaona halmashauri za mwanza hazitaki kuingiliana kabisa Kila mtu na vitu vyake ,bila kujali kuwa Kuna maamuzi mengine Yana undermine wilaya zingine .mfano suala la stendi...
Nyamagana walikataa kabisa stendi kujengwa Usagara kisa ipo misungwi ,hawaoni wanaundermine UKUAJI wa mji kuelekea misungwi ,,the same applies Kwa ilemela na kisesa magu ,......sioni umuhimu wa kuwabania misungwi kiasi hicho .......
Leo ilemela na nyamagana Zinafanya project pasipo kushirikiana kabisa wamesahau ni jiji Moja ...nishawahi msikia mkuu wa mkoa aliyepita anasema anatamani kuiona ilemela inakuwa jiji ,nikajiuliza kuna umuhimu Gani wa kuwepo jiji la mwanza .au mwanza jiji haina ilemela ndani yake
Hayo mapato ndio yamesababisha Arusha hawana stendi Hadi sa hv...migogoro tu ..Kwan halmashauri haziwez kuingia ubia na wakajenga mradi wa pamojaMchawi mapato tu, kila Halmashauri inataka sources zake za mapato
Yaani stendi ya mwanza ijengwe usagara hio itakuwa akili au matope?Ubinafsi wa halmashauri za mwanza ..una madhara sometimes...sa hv utaona halmashauri za mwanza hazitaki kuingiliana kabisa Kila mtu na vitu vyake ,bila kujali kuwa Kuna maamuzi mengine Yana undermine wilaya zingine .mfano suala la stendi...
Nyamagana walikataa kabisa stendi kujengwa Usagara kisa ipo misungwi ,hawaoni wanaundermine UKUAJI wa mji kuelekea misungwi ,,the same applies Kwa ilemela na kisesa magu ,......sioni umuhimu wa kuwabania misungwi kiasi hicho .......
Leo ilemela na nyamagana Zinafanya project pasipo kushirikiana kabisa wamesahau ni jiji Moja ...nishawahi msikia mkuu wa mkoa aliyepita anasema anatamani kuiona ilemela inakuwa jiji ,nikajiuliza kuna umuhimu Gani wa kuwepo jiji la mwanza .au mwanza jiji haina ilemela ndani yake