Kumzuia mtu kujenga ni kitu kigumu ...serikali itengeneze policy maeneo yote mjini yapimwe ,na yawe chini ya mamlaka ya usimamizi.. viwanja vya kujenga nyumba binafsi viwe bei juu kuliko viwanja vya kujenga majengo ya apartment.ili mtu aone gharama ya ujenzi binafsi kuliko kununua apartment
Sent from my TECNO KG5j using
JamiiForums mobile app