Mwanza City: The Photo Gallery

Beach zote ambazo watu wanaweza kuogelea ziko Ilemela.
Dar tech mwanza wataanza ujenzi wa chuo 30b sio mchezo.

Marine rescue centre itajengwa ilemela.
Na kuna vyuo vingi vimechukua viwanja ilemela.
Ilemela kuna future nzuri wakijipanga.
Ilemela wana utajiri wa ardhi, pia maeneo yao mengi yamepimwa pia ardhi yao ni tambarare na imechukua eneo kubwa la ziwa.
 
nipe connection na mimi nipate fursa ya kuwachana, kama kuna sehemu ya maoni nambie mkuu.
 
hizi story za timu ya pamba huwa nazipata kwa mshua tu, tupe madini ya Mwanza ya zamani nasi wadogo zako tufaidi,ili tujue tumetoka wapi, tupo wapi na tunaelekea wapi? ๐Ÿ™ ๐Ÿ™ ๐Ÿ™ ๐Ÿ™
 


Your browser is not able to display this video.


Halafu watu wa nyamagana wanataka wapangishwe kwa bei za igogo na mabatini
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ