Mimi nitaanza kuwachana kwenye post zao za vyoo/ madarasa na vituo vya afya. Sio kitu cha kujibrag kwenye halmashauri zenye mapato
Igombe siku hizi magari mengi, shida ilikuwa Kayenze kulikuwa na waarabu fulani pale Nera walikuiwa wanamiliki bus linaitwa Digidigi, nakumbuka tokea ninaoma nursery pale KKKT Makongoro mpaka naaliza chuo mzigo bado unapiga kazi.