Mwanza City: The Photo Gallery

Hayo maeneo uliyoyataja ilemela na yananuka na Ngono sana
 
Ni maoni yako ...ila kinachosababisha nyamagana isionekane sana maeneo yake yenye nyumba Kali yamejificha kama majengo mapya, kanyerere,mhandu,n.k
 
Viongozi hawajui tu kuwa watu wa mwanza wanapenda starehe ambazo wao kama serikali zingewaingizia mapato makubwa tu. Wanakuja watu wengine kabisa na mawazo ya kupiga mpunga wanazichota nyingi wanasepa nazo. Wazo la fiesta aliyebuni si anajidai. Upande wa serikali ni kuweka miundo mbinu saaaafi kwa ajili ya matamasha haya. Kila mwaka wanapelekwa ccm kirumba ilinyesha mvua si itakuwa shida. Ilitakiwa mtu unaburudika huku umekaa zako na safari au castle mezani na radha ya tamasha unai-feel.
 
Hayo maeneo uliyoyataja ilemela na yananuka na Ngono sana
Acha ujinga😂😂 hayo maeneo yapo safi na hayana uchafu kabisa ni maeneo ya kishua ukitoa kirumba ndio maasi yote na ngono na kila kitu ndio mahala pake kirumba ndio kila kitu mkuu kwa kila kitu.
 
Sasa buhongwa kwanza Inaitwa periurban ..ni maeneo yanayoendelea huwezi fanyia judgement..ukitaka nifanyie judgement maeneo kama hayo mi nitaiangalia kahama kule buswelu kulivyo na mavumbi
Kahama sio vumbi kuna lami inakaribia ilalila centre, nyie nyamagana pambaneni na hali zenu😂😂😂
 
Nipo nyamagana na hapa umrtupiga msumari wa Motoo na Mimi nimekubali upo sahihi Kaka
 
Ni saw kabisa . ...hatubishani ila tunajaribu kufanya comparison na kujua wapi panafaa kufanyiwa marekebisho Zaid
Marekebisho makubwa yafanyike Nyamagana coz baada ya muda Ilemela mtaisikia ipo juu yenu kwa kila kitu😄😄😄
 
Nipo nyamagana na hapa umrtupiga msumari wa Motoo na Mimi nimekubali upo sahihi Kaka
We uko mpakani na misungwi huko unasema uko nyamagana
....walioko hapa kwenye apartment za kishimba wasemeje...ukiwa na hela huwezi sema nyamagana Kuna vumbi ....hvi ushawahi kaa nyegezi huku juu ukaona kulivyo na upepo flani hv amazing na kumetulia
 
Acha ujinga
hayo maeneo yapo safi na hayana uchafu kabisa ni maeneo ya kishua ukitoa kirumba ndio maasi yote na ngono na kila kitu ndio mahala pake kirumba ndio kila kitu mkuu kwa kila kitu.
kwan kirumba haipo nyamagana?
 
huko nyegezi ni pazuri sawa ila swali je ushaenda huko nyuma ya stendi mpaka nyamazobe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…