Mwanza City: The Photo Gallery

inaonekana we ni wa ilemela mkuu, ila sisi wa nyamagana tunasema nyegezi ni international kwelikweli
 
mkuu upo sahihi kwa upande wako lakini hiyo kitu ya nyegezi achana nayo ni hatari na nusu.
 
lakini malumbano yao yanatuchelewesha sana.
 
Nitajie facilities zilizopo nyegezi terminal
1. ina parking ya magari madogo aka daladala na pia hiyo parking ipo classic kama kigorofa fulani hivi.
2.ina njia mbili za kuingia na kutokea magari
3. ina sehemu kwa ajili ya wakina mama wenye watoto wadogo na wanaonyonyesha
4.location yake hiyo kitu ni hamsha hamsha
5.bango la stendi ya nyegezi imetiwa nakshi ya kuvutia sana.
N.b hizo ni unique features za nyegezi terminus
nyingine wanafanana kama mabenki, maduka, sehemu za restaurants n,k
 
halafu kingine nyegezi pale kuna lounge mbili ya abiria kusubiria usafir wakat ilemela hawana
 
Hizo facilities zote nyamhongolo zipo
 
Picha zinazungumza

Ukiangalia hapa nyamhongolo Iko smart ad unique .. nyegezi just imebanana na majengo yake design ni mbovu..View attachment 2373938View attachment 2373939
acha kupiga picha upande upande ingekuwa poa kama ungechukua na stendi ya nyegezi yote tufanye fair play, hii stendi yenu ya ilemela haiwezi lingana na nyegezi nakuambia.
 
hawana hata Moja wanazile waiting areas kwa eneo la kuzunguka stand zipo 3 wameweka mabenchi
hakika mkuu nilikuwa nimefananisha na waiting areas ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ hakika nyegezi ndio stendi pekee yenye lounge na night club hapa Tanzania๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
hakika mkuu nilikuwa nimefananisha na waiting areas ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ hakika nyegezi ndio stendi pekee yenye lounge na night club hapa Tanzania๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Nyegezi waiting area wanazo 5 lounge za kusubir abiria wanazo 2 maeneo ya bank wanazo 6 supermarket kama 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ