Mwanza City: The Photo Gallery

Maybe hizi hotuba zisiishie kwenye makongamano kama haya .ziende ndani ndani kule magu , sengerema,buchosa,ilemela ,ukerewe na nyamagana...
 
Hiyo idadi ni ndogo kwa jinsi nilivyopata taarifa za chini, ilemela + nyamagana = 2.2-2.5 milion
Mh.mbona itakuwa so overrated..Kwa sababu growth rate ya mwanza kati ya 2002 -2012 ilikuwa ni ongezeko la watu laki 4 ....ukichukua laki 7 +400000 .inapata estimate ya 1.1 m .hii ni exact minimum expectation
 
Mkuu sijaelewa umuhimu wa hii taarifa naomba unifafanulie si unajua sisi wagumu kuelewa
Hotuba ya mkuu mkoa wa mwanza akielezea fursa mbali mbali zilizopo kwenye ziwa Victoria...ambazo nyingi hazijulikani .mfano cage fishing ambao ni ufugaji wa kisasa wa samaki ndani ya ziwa ambao umeonekana kuwa effective sana kwenye uzalishaji wa samaki ..lakini wanaoufahamu ni wachache sana ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ