Pale buzuruga manispaa ya ilemela ingeingia ubia na Hawa watu wa social fund wajenge jengo kubwa la kitega uchumi au kama vp wakope pesa bank wajenge jengo la kitega uchumi kubwa mnoo ndan ya miaka 5 pesa inarud
Pale buzuruga manispaa ya ilemela ingeingia ubia na Hawa watu wa social fund wajenge jengo kubwa la kitega uchumi au kama vp wakope pesa bank wajenge jengo la kitega uchumi kubwa mnoo ndan ya miaka 5 pesa inarud
kwenye suala la investment kaka ...Huwa haifanyiki ili kumridhisha mtu au kupendezesha tu eneo . lazima ifanyike analysis, proposal zifanyike ,ili kuwepo na win to win situation.kwamba mwekezaji anufaike,raia anufaike ,na mamlaka wanufaike ......hili suala halmashauri waichie tu private sector ,,wao hata wasijihusishe na biashara..eneo waligawe Kwa watu binafsi wafanye investment