Sidhani kama kina kiaongezeka, ziwa lina kina kifupi sana, yaani uwanja wa mpira goli hadi goli ni parefu. Ziwa lina 82m depth only sema upana ndio beseni au saani. Na kijiografia ndio ziwa ambalo lipo juu ya usawa wa bahari.Hili ziwa mnalionaje? Naona kina kinazidi kuongezeka tu hili ni tatizo aisee....
Financial constraints.lakin wako sawa tu Kwa sababu nyegezi inachukua idadi hyo ya mabus lakin most ya mabus yanaondoka asubuhi.mchana hupungua Kwa hyo hatuwezi kulaumu sana .nadhan consultants waliliona hili pia ..Stand ya nyegezi ilipaswa kubeba mabus 500 tofaut na hii ya nyamhongoro
Kwa sasa ruti ya mwanza-sirari limebaki gap moja tu la usiku kwanzia saa moja na gari ipo George Town
Pia ruti ya mwanza-msoma imejaa kabisa
Ruti zilizobaki ni vijijini tu
Ila stand ya nyegezi inahudumia mikoa 10+ inakuaje ndogo kiasi hicho?
Kwa sasa maji yamesogea sana juz nimeenda mamba beach aisee maji yamesogea mita kama 8+Sidhani kama kina kiaongezeka, ziwa lina kina kifupi sana, yaani uwanja wa mpira goli hadi goli ni parefu. Ziwa lina 82m depth only sema upana ndio beseni au saani. Na kijiografia ndio ziwa ambalo lipo juu ya usawa wa bahari.
View attachment 2353825
Mfano ruti ya mwanza tabora huwezi kutoa gari nyamhongoro mwenzio akatoa nyegezi lazima ulie halafu 80% ya abiria wa nyamhongoro ni walewaleFinancial constraints.lakin wako sawa tu Kwa sababu nyegezi inachukua idadi hyo ya mabus lakin most ya mabus yanaondoka asubuhi.mchana hupungua Kwa hyo hatuwezi kulaumu sana .nadhan consultants waliliona hili pia ..
Nikurekebishe kidogo stendi ya nyamhongolo haijajengwa Kwa ajili ya mabus ya musoma au Mara tu .hata mikoa mingine inaruhusiwa kupaki mabus hapo Kwa hyo nyamhongolo na nyegezi zinaweza kugawana magari .
Hiyo sio kina kuongezeka, ila ujazo ndio umeongezeka. Kina kipo pale pale sema ujazo ndio umeongezeka inaonekana kuna maeneo mvua imeanza hasa naisi kwenye vyanzo vvya mto Kagera (Rwanda/ Burundi)Kwa sasa maji yamesogea sana juz nimeenda mamba beach aisee maji yamesogea mita kama 8+
Ila kuna bus Dar-Mza nasikia baadhi zinaanzia MhongoloMfano ruti ya mwanza tabora huwezi kutoa gari nyamhongoro mwenzio akatoa nyegezi lazima ulie
Nakupa miaka 6 stand ya nyegezi lazma itapike magari
Mbona ruti ya kahama Ina option..yaaani Mimi wa kahama nachagua nichukue fresters ya nyegezi,au nichukue kisire na zuberi ya nyamhongolo..Ila kuna bus Dar-Mza nasikia baadhi zinaanzia Mhongolo
Hio kisire ya kahama ipo moja,hio gari inachukua abiria wa kuanzia sirari unafaulishwa, hio frester inaanzia msoma nyamhongoro akuna kampuni ya zuberi.Zuberi kakwe ni kisesa na garage yake ipo kanyamaMbona ruti ya kahama Ina option..yaaani Mimi wa kahama nachagua nichukue fresters ya nyegezi,au nichukue kisire na zuberi ya nyamhongolo..
Niliwahi kumsikia mkurugenzi anasema ,mabus yatakuwa yanapaki Kwa shift.. nyegezi Huwa Ina mabus mengi sana mida ya asubuhi .. nyamhongolo Huwa in mabus ya nenda Rudi meengi
Gari za dar hizo ni booking kwa kwenda mbeleIla kuna bus Dar-Mza nasikia baadhi zinaanzia Mhongolo
Hatari sanaHiyo sio kina kuongezeka, ila ujazo ndio umeongezeka. Kina kipo pale pale sema ujazo ndio umeongezeka inaonekana kuna maeneo mvua imeanza hasa naisi kwenye vyanzo vvya mto Kagera (Rwanda/ Burundi)
Ngoja nikupe jibu.Stand ya nyegezi ilipaswa kubeba mabus 500 tofaut na hii ya nyamhongoro
Kwa sasa ruti ya mwanza-sirari limebaki gap moja tu la usiku kwanzia saa moja na gari ipo George Town
Pia ruti ya mwanza-msoma imejaa kabisa
Ruti zilizobaki ni vijijini tu
Ila stand ya nyegezi inahudumia mikoa 10+ inakuaje ndogo kiasi hicho?
Hoja yako nimeielewa kwamba ulitamani nyegezi wajenge bus terminal kubwa zaidi ni sawaa..lakin Kwa eneo lile wasingeweza kujengenga stendi ya ukubwa huo ...Hio kisire ya kahama ipo moja,hio gari inachukua abiria wa kuanzia sirari unafaulishwa, hio frester inaanzia msoma nyamhongoro akuna kampuni ya zuberi.Zuberi kakwe ni kisesa na garage yake ipo kanyama
Ukitoa kisire inayofaulishiwa abiria na kisire ya kirari hakuna gari nyingine inayoanzia safari hapo nyamhongoro
Hoja yako nimeielewa kwamba ulitamani nyegezi wajenge bus terminal kubwa zaidi ni sawaa..lakin Kwa eneo lile wasingeweza kujengenga stendi ya ukubwa huo ...
Uwepo wa stendi mbili mwanza ,,kunatoa option ya baadhi ya magari kuanzia routi huko .... stendi ya mbezi licha ya ukubwa wake bado mabus hayakutaka kupaki huko ..Kwa hyo unapofanya uwekezaji mkubwa lazima uangalie possible return..
MCC wamefanya kuminimize risk ( kujenga bonge la stendi)
Ngoja nikupe jibu.
1.
Basi zote haziondoki muda mmoja, ikiondoka moja ingine inapata gap ingawa najua hakuna siku hiyo stendi itakuwa imejaa basi hata kama ni asubuhi.
2.
Baada ya miaka 4 basi zitapungua sana hiyo njia, watu wengi watapenda kutumia treni.
Yaani sgr itakuwa imekamilika
Duniani kote gari inayoondoka ndio inapaki stendi, yaani watu wanawaza kama vile gari zinakaa hapohapo haziondoki.Mbona ruti ya kahama Ina option..yaaani Mimi wa kahama nachagua nichukue fresters ya nyegezi,au nichukue kisire na zuberi ya nyamhongolo..
Niliwahi kumsikia mkurugenzi anasema ,mabus yatakuwa yanapaki Kwa shift.. nyegezi Huwa Ina mabus mengi sana mida ya asubuhi .. nyamhongolo Huwa in mabus ya nenda Rudi meengi
Stendi ya buzuruga haijawahi kujaa, imehamishwa kupunguza vurugu za magari buzuruga.sgr ya serikali wacha tuone
Unajua sababu ya stand ya buzuruga kujaaa? Na ilikua inahudumia mkoa mmoja
Stendi ya buzuruga inahudumiasgr ya serikali wacha tuone
Unajua sababu ya stand ya buzuruga kujaaa? Na ilikua inahudumia mkoa mmoja
Boda la Mwanza - Simiyu - Singida- Manyara - Chugga likikamilika Nyegezi itasahau bus za Arusha/MoshiStendi ya buzuruga inahudumia
Mara ,simiyu,geita,kigoma,na shinyanga kiufupi ni stendi ya Kanda ya ziwa