barabara hyo inazidi kuwa ya mkakati usafiri wa mabus ya musoma ,malori ,na mabus yaendayo nyamhongolo Toka mikoani yatakuwa yanapita .
Ujenzi wa sGr .ambapo mji wa fela utaungana na kisesa kupitia hayo maeneo .
Kishiri ni kubwa ,,,imextend igoma,inakuja inapakana na nyamhongolo,inapakana na kisesa ,inakuja Ina border Kona ya fela,inapakana na buhongwa..Ina maeneo yote ya tambalale na milima .
Kishiri ni kimbilio la watu wengi wanaotaka viwanja bei nafuu ..mim nina watu nawafahamu wamenunua viwanja Hadi laki sita ..sema changamoto kubwa Ni maji ..kuhusu barabara lami ya igoma to buhongwa italeta unafuu
Leo nilikuwa kahama buswelu aisee kumbe Lami ilishafika huko wametengeneza had parking nzur ya stand ya coaster nzur sana kilichonifurahisha nimekuta kuna sheli ipo finishing ina floor 2
Leo nilikuwa kahama buswelu aisee kumbe Lami ilishafika huko wametengeneza had parking nzur ya stand ya coaster nzur sana kilichonifurahisha nimekuta kuna sheli ipo finishing ina floor 2
ila wazee tuseme ukweli kipind cha samia maujenz mwanza yameshika kas sana hasa masheli af nimepita njia ya sabasaba buswelu haloo Napo kuna masheli sio mchezo af pale kiseke A kuna bonge Moja la pub balaa