Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,423
Hahahaaa, umenifurahisha kwenye nne na nusu, yaani imebaki nusu tu kufika tano😃😃.Mara nyingi mwisho nyota 5
Kwa ubora Huwa wanaanzia kupima nyota 3 inakuwa kidogo na vigezo international na business class au watalii ..
Mwanza Inayo mwisho 4.5 stars
nyota 3
Kingdom hotel,la kairo ,mwanza hotel, pigeon hotel, Victoria palace ,g.g hotel,adden palace,antelepo
Nyota 4
Ryan's bay,tilapia, gold crest,wag hill
Nyota 4.5
Malaika Beach resort
Nyota 5
NSSSF ujenzi unaendelea
Hahahaaa, umenifurahisha kwenye nne na nusu, yaani imebaki nusu tu kufika tano.
Nashukuru kwa elimu mkuu, Bhujiku ng'waka.
Viwanja vya huku kama wamevipiga low density safi sana, hakuna kubananaMaeneo ya viwanja vya mji Mpya wa sangabuye ..3500 per sqm ..ni full breeze ziwani View attachment 2348060View attachment 2348061
Wangeweka na Miundombinu kwanzaViwanja vya huku kama wamevipiga low density safi sana, hakuna kubanana
igombe,kayenze na nyanguge pamebadilika sana sasa hv panaonyesha sura ya mjini kabisa na sio vijijiKatika vitu serikali wanazingua ni kujenga barabara ya airport igombe,kayenze,Hadi nyanguge au kisesa kwa Lami hii barabara ni muhimu sana aisee na ni ya kimkakati cjui kwann wanaichelewesha
HIV kutoka kisesa Hadi nyanguge ni km ngapiigombe,kayenze na nyanguge pamebadilika sana sasa hv panaonyesha sura ya mjini kabisa na sio vijiji
Km kama 15 tuHIV kutoka kisesa Hadi nyanguge ni km ngapi
Bado safari ndefu . kuunganisha mji,kati ya kisesa na nyagugeKm kama 15 tu
Huko watu wanajenga sana hapo isangijo kuelekea bukandwe had ihayabuyaga watu wanajenga sana tuBado safari ndefu . kuunganisha mji,kati ya kisesa na nyaguge
Sahv kutoka nyanguge had kisesa katikati hapo watu wamejenga ukiona maeneo ya barabaran hayajajengwa hvy viwanja ni vya either viwanda au matumiz ya sheliHuko watu wanajenga sana hapo isangijo kuelekea bukandwe had ihayabuyaga watu wanajenga sana tu
Yaani sasa hivi Kisesa iliyobaki shamba sijui ni igekemaja peke yakeSahv kutoka nyanguge had kisesa katikati hapo watu wamejenga ukiona maeneo ya barabaran hayajajengwa hvy viwanja ni vya either viwanda au matumiz ya sheli
Hizi ni current kabisa