Tuko kwenye upembuzi yakinifuView attachment 2336835
View attachment 2336836
izi barabara mbili ziamgaliwe sana pawekwe four ways saivi msongamano ni mkubwa sana mizani to town,, pia kisesa to town pia napo kuna shida tuzingalie izi barabara.. zikiwekwa vizuri kutakua na view nzur sana ever seen,.. kama makongoro road to airport iliwezekana basi na izi pia zinawezekana.... i love mwanza
Upembuzi yakinifu miaka nenda rudi, natamani Katikati ya izo njia nne waweke barabara ya mabasi ya mwendo kasiTuko kwenye upembuzi yakinifu
Washushe angalau 10f ili wakija jenga heart institute watengeneze skyline ya kwao.Bugando nao hawako nyuma sana
Hii view ya capri point ni kali sana dah
Leo nilkuwa kisesa nimekutana na vifaa vya ujenzi wa barabara,nikauliza wenyeji wakanambia wameanza upanuzi wa hiyo barabara kuanzia kisesa kuja mjini..
Naona view kama hii Kayenzze ndani ya miaka 15 ijayo
Kaka mtaani kila mtu huwa na habari zake, upanuzi wa barabara kisesa mpaka mwanza mjini ni ujenzi mkubwa sana ambao utahusisha na bomoabomoa hivyo hauwezi kufanyika kienyeji namna hiyo.Leo nilkuwa kisesa nimekutana na vifaa vya ujenzi wa barabara,nikauliza wenyeji wakanambia wameanza upanuzi wa hiyo barabara kuanzia kisesa kuja mjini..
wanapanua njia ngapi au ndio izo 3 ways kila cku AJALILeo nilkuwa kisesa nimekutana na vifaa vya ujenzi wa barabara,nikauliza wenyeji wakanambia wameanza upanuzi wa hiyo barabara kuanzia kisesa kuja mjini..
njia 3 tatu ajali tu apo four way ndio habari ya townKaka mtaani kila mtu huwa na habari zake, upanuzi wa barabara kisesa mpaka mwanza mjini ni ujenzi mkubwa sana ambao utahusisha na bomoabomoa hivyo hauwezi kufanyika kienyeji namna hiyo.
Labda kama wanaongeza njia 3 zifike kisesa hapo sawa.
Ajali zinatokana na watu kutofuata sheria barabarani.njia 3 tatu ajali tu apo four way ndio habari ya town
Mwanza ni pazuri sana
Japo sio kama Arusha
Namaanisha Arusha ni pazuri zaidiKi vipi? Pazuri sana halafu sio kama arusha? How?