Ni kweli aisee, hata JPM bus terminal bei ni nafuu kuliko. Tusubirie labda OR-Tamisemi wanaweza litolea majibu au kubadilisha mambo kabisa.Nimesikia mahala kuwa stendi mpya ya Nyamhongolo kiingilio elf 1 iwe abilia ama anayesindikiza kuna ukweli katika hili?
Kaka sikumbuki kama kuna mtu aliponda machinga kuondolewa, ambacho huwa tunalalamika humu ni miradi ya mza kuwa mwendo wa kinyonga.Sijawahi kumponda mkuu🤣🤣🤣, alafu mimi huwa sipendi siasa mimi napenda Mwanza isonge mbele tu basi.
Ni nzuri kuzuia wizi na vurugu, ila kwa abiria naye kulipa 1000 na ana tiketi watakuwa wamechemshaNimesikia mahala kuwa stendi mpya ya Nyamhongolo kiingilio elf 1 iwe abilia ama anayesindikiza kuna ukweli katika hili?
Nyegezi ni stendi nzuri kuliko nyamhongolo ..ikimalizika itapafanya nyegezi pale pawe mjini kinoma ...yaaani mwanza city council wameupiga mwingii..Ile ni small and elegant.... finishing yake ni babkubwaNyegezi Bus terminal nasikia kufikia October mzigo utakuwa hewani. Sasa sijui na wao watacopy Nyamhongolo?
Wataiondoa tu mbona ngoja maduka ya mle ndani yakose watejaNi nzuri kuzuia wizi na vurugu, ila kwa abiria naye kulipa 1000 na ana tiketi watakuwa wamechemsha
Hapa umeongea kwel bab, ujue nyamhonholo ni kubwa tu lakina haipo poa kama Nyegezi.Nyegezi ni stendi nzuri kuliko nyamhongolo ..ikimalizika itapafanya nyegezi pale pawe mjini kinoma ...yaaani mwanza city council wameupiga mwingii..Ile ni small and elegant.... finishing yake ni babkubwa
DED katangaza hivyo.Nimesikia mahala kuwa stendi mpya ya Nyamhongolo kiingilio elf 1 iwe abilia ama anayesindikiza kuna ukweli katika hili?
Na nyegezi ghorofa kadhaa zinajengwa. E.g pembeni mwa kituo Cha watoto, kamanga medics pia Kuna jengo wanapandisha , etc . Kifupi kule kumekucha kabla ya kukamilika standNyegezi ni stendi nzuri kuliko nyamhongolo ..ikimalizika itapafanya nyegezi pale pawe mjini kinoma ...yaaani mwanza city council wameupiga mwingii..Ile ni small and elegant.... finishing yake ni babkubwa
Inatafutwa billion 13 makusanyo ya Halmashauri (target)DED katangaza hivyo.
Patakuwa pazuri sana in the coming daysNa nyegezi ghorofa kadhaa zinajengwa. E.g pembeni mwa kituo Cha watoto, kamanga medics pia Kuna jengo wanapandisha , etc . Kifupi kule kumekucha kabla ya kukamilika stand
Inaonekana mkandarasi pale anazuia wasipige picha.yaani kupata picha za maendeleo ya ujenzi ni vigumu .. nyamhongolo picha tulianza kuzipata Toka awali Hadi stendi inaishaPatakuwa pazuri sana in the coming days
Ni kama imekamilika nilikuwepo huko jmatatu ya week hii. Na Kuna projects nyingi tu za majengo marefu sema sikuwa na mda wa kupiga pichaInaonekana mkandarasi pale anazuia wasipige picha.yaani kupata picha za maendeleo ya ujenzi ni vigumu .. nyamhongolo picha tulianza kuzipata Toka awali Hadi stendi inaisha
Wamesema Kama hauna tiketi, Ila Kama unayo hulipiiNi nzuri kuzuia wizi na vurugu, ila kwa abiria naye kulipa 1000 na ana tiketi watakuwa wamechemsha
Wenye ofisi za ticket milango ya ofisi itakuwa nje ya stand, kwa hiyo ukiishakuwa na ticket tayari ni passport. Kama ni hivyo ustaarabu ndani ya stand utakuwepo.Wamesema Kama hauna tiketi, Ila Kama unayo hulipii
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sema Kuna UPUMBAVU huwa unafanyika. Kwasababu issue ni mapato, utashangaa hata watu went tiketi wanasumbuliwa kulipa.Wenye ofisi za ticket milango ya ofisi itakuwa nje ya stand, kwa hiyo ukiishakuwa na ticket tayari ni passport. Kama ni hivyo ustaarabu ndani ya stand utakuwepo.
Wakurugenzi wanavitanzi vya mapato, na sasa hivi SSH kawabana madarasa kila Halmashauri kwa vyanzo vya mapato ya ndani. Mkurugenzi atakaeshindwa analiwa kichwa.Sema Kuna UPUMBAVU huwa unafanyika. Kwasababu issue ni mapato, utashangaa hata watu went tiketi wanasumbuliwa kulipa.
Yanatokea haya Magufuli Bus terminal
Halmashauri zinaongozwa kizuzu sana kiukweli.Wakurugenzi wanavitanzi vya mapato, na sasa hivi SSH kawabana madarasa kila Halmashauri kwa vyanzo vya mapato ya ndani. Mkurugenzi atakaeshindwa analiwa kichwa.
Una maanisha miradi ya tactic...Miradi mingi ya world bank nchini inategemewa kuanza mwezi September, soko la Kirumba taratibu za kuhamisha wafanyabiashara kwenda Magomeni zimepamba moto.
Kwenye hii robo ya mwisho wa mwaka nadhani tutaona mji ukifumuliwa fumuliwa nashughuli za ujenzi wa.barabara pendekezwa na.miradi mipya ya kimkakati zikiendelea.
Miradi mipya kabisa ya kimkakati na barabara mpya za lami tofauti na hizi zilizopo kwenye makaratasi tutaijua mwakani kupitia kwenye mabaraza ya madiwani na Bunge.
Ndio ndioUna maanisha miradi ya tactic...