Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Kuna maeneo unayaona yapo idle lakini yameshikiliwa na Taasisi kubwa, ndio maana hata wale wazee wa kambi popote hawatii miguu.Kama hilo eneo la Wacatholic lao lipo Kirumba/ Ibanda. Planning ni kujenga chuo kikuu cha afya hapo pamoja na hostels.View attachment 2292467moja ya sehem nimefika mwanza nikashangaa imetelekezwa, nchi za watu hili eneo ni hot sana, but mwanza wameliacha tu kama hawalioni!! Hata kuanzia nera mpka clinic pale napo pametelekezwa tu, huu mji tunaviongozi kweli??