Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hili eneo la nyamhongolo linafaa kupigwa picha za drone maana linazidi kunoga
289633509_1915518338646825_3979070192779570792_n.webp.jpg
289635392_364424138938634_3362467879802823769_n.webp.jpg
 
Haya mwanza kunaendelea hafi raha...

Bukoba manispaa stendi kuu bado inajengwa toka 2020...

Soko liko vile vile....

Barabara Taa haziwaki, kwingine hakuna kabisa...

Barabara ni finyu na chafu..


Yaan nikija mwanza naonaga wivu...sijui bukoba kuna shida gani...mbona miradu haiishi na haitekelezwi??
 
Haya mwanza kunaendelea hafi raha...

Bukoba manispaa stendi kuu bado inajengwa toka 2020...

Soko liko vile vile....

Barabara Taa haziwaki, kwingine hakuna kabisa...

Barabara ni finyu na chafu..


Yaan nikija mwanza naonaga wivu...sijui bukoba kuna shida gani...mbona miradu haiishi na haitekelezwi??
Mkurugenzi changamoto
 
Haya mwanza kunaendelea hafi raha...

Bukoba manispaa stendi kuu bado inajengwa toka 2020...

Soko liko vile vile....

Barabara Taa haziwaki, kwingine hakuna kabisa...

Barabara ni finyu na chafu..


Yaan nikija mwanza naonaga wivu...sijui bukoba kuna shida gani...mbona miradu haiishi na haitekelezwi??
Miradi mingine inategemea mapato ya ndani ya halmashauri ko kana mapato hayatoshi inabidiri ruzuku toka serikalini ....

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom