Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Sisi tunataka project zote ziwakeeee paleeeHv kwann wasiongee naa ilemela wapewe buzuruga pale
Sisi tunataka project zote ziwakeeee paleeeHv kwann wasiongee naa ilemela wapewe buzuruga pale
Classic photos 🔥🔥picha ya mwisho unaruhusiwa kuizoom kwa faida ya macho yako
View attachment 2276823View attachment 2276825View attachment 2276830View attachment 2276827View attachment 2276828View attachment 2276822
Hii project haipo , ishakufa kitambo sana..!! The rest ni bla bla,Proposed mega mall at Nyakato
19 floorView attachment 2276797
Walisema imekufa?Hii project haipo , ishakufa kitambo sana..!! The rest ni bla bla,
Kun ndugu yangu walikua amekataa kupisha eneo kwa sababu alikua anaona anacholipwa ni kidogo lkn mwezi may amelipwa hela iliyoboreshwa zaidi kama allivyokua anataka so project hipo labda ife huko mbeleniHii project haipo , ishakufa kitambo sana..!! The rest ni bla bla,
Si pale national auKun ndugu yangu walikua amekataa kupisha eneo kwa sababu alikua anaona anacholipwa ni kidogo lkn mwezi may amelipwa hela iliyoboreshwa zaidi kama allivyokua anataka so project hipo labda ife huko mbeleni
Wew ndio ulianzisha hii thread?Kanisa lilonilea kiroho.
View attachment 2279645
Ndiyo mkuuWew ndio ulianzisha hii thread?
Hongera ,bwana ...idea yako ni bomba sanaNdiyo mkuu
Sana kafanya jambo kubwa sanaaHongera ,bwana ...idea yako ni bomba sana
Wow..Roman Catholic Butimba Parish ndio nimebatizwa, Komunio ya Kwanza Hadi kipaimara HapaKanisa lilonilea kiroho.
View attachment 2279645
Pamoja sana mkuuHongera ,bwana ...idea yako ni bomba sana
Uko sahihi kabisa mkuu.Wow..Roman Catholic Butimba Parish ndio nimebatizwa, Komunio ya Kwanza Hadi kipaimara Hapa