Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Ukimsikiliza meya, mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya walivyokanusha ni dhahiri huu mradi ipo ila Taarifa zime leak mapema.Si ndo mpango umesitishwa timing ilikua mbaya na huu upepo wa loliondo
Kuna mtu karusha picha humu fuatilia utaona,Tunaomba picha
Tuna shortsighted leaders ...ni tatizo sana katika nchi yetu kuwaruhusu madiwani ambao wengi hata proffesional hawana kuwa watu wa mipango na sera ya maendeleo kwenye halmashauri zetu ...Ndio shida ipo hapo, hata hawa ilemela tunaowasifia wamefeli kwa hili, yaani recreational Parks zetu tunawaza beach tu, kusingekuwa na ziwa ingekuwa je?
Kila eneo wazi tunawaza kupima viwanja watu wajenge basi kwisha.
Ilemela wangeweza tenga hata eneo kwa ajili ya CBD yao hakuna mtu kujenga unless ni ghorofa 10 kwenda juu, makampuni au mashirika au watu binafsi wakija kujenga maghorofa wanakuta viwanja vipo sio mpaka ulipe watu fidia.
Kuwe na recreational parks kila kata.
Kumiliki gari sasa hivi sio Big deal wanapopima viwanja wakumbuke kupima barabara ziwe kubwa na ziwe na njia za train, tram, brt nk baadae mji utakuwa mkubwa huu usafiri wa vipanya na mabasi hautafaa tutahitaji treni, wawaite trc wsone ni wapi panafaa kupita reli ili wslinde hayo maeneo.
Mfano inahitajika inayotoka nyegezi au buhongwa ije stendi ya Nyamhongolo mpaka airport.
Hii treni inaweza kuwa leta mjini kati watu wa pembezoni kwa kuunganisha na hii sgr inayojengwa sasa.
Maeneo mengine kama ni mazuri kwa kilimo si lazima vipimwe viwanja kisa mji unapanuka tutakosa sehemu za kulima baadae, watu wakajenge hata Magu huko tulinde baadhi ya maeneo kwa kilimo.
Picha za taa barabara ya Airport
Ipo inafanyiwa upembuzi, bajeti ya upembuzi imepitishwa kwenye bunge hili la bajeti.HV Barabara ya nyerere haiko kwenye mpango wa upanuzi au ...au ndo mwisho njia 3 hadi Nyakato
Mbona hizi taa zilikuwepo , zinaanzia airport hadi pale njia panda ya igombe ...kwani washaanza kuweka kuelekea mjiniPicha za taa barabara ya Airport
Mikdde, njia ya Airport wa nafunga taa
Hii barabara si imekamilika na inatumika? Au inapigwa two ways?Ipo inafanyiwa upembuzi, bajeti ya upembuzi imepitishwa kwenye bunge hili la bajeti.
Ni njia nne mpaka kisesa.
Pia airport igombe mpaka nyanguge km 46 inafanyiwa upembuzi. View attachment 2272740
Mbona hizi taa zilikuwepo , zinaanzia airport hadi pale njia panda ya igombe ...kwani washaanza kuweka kuelekea mjini
Sijui kwa nini waliiweka hapa.
Inawezekana wanadaiwa na mkandarasi.Sijui kwa nini waliiweka hapa.
Bas ni jambo jema sana hiliView attachment 2272745
Nimezoom uone vizuri Wameshaanza kusogeza kuja mjini, Ukiangalia hapo zilipokomea njia panda ya igombe wala haionekani.
Hivi kuhamishwa kwa stendi huoni kama kutapafanya papoe hayo ya maeneo na vipi kuhusu mustakabali wa biashara zilizopo hapo ambazo zilikuwa zinategemea hyo standSoon buzuruga na nyakato zitakuwa poa sana. Mosi, uwepo wa jengo la TMDA umenogesha sana eneo Hilo, pili uwepo was buzuruga plaza na tunasubiri ujio wa buzuruga commercial complex na Ile project ya MIC. wakati huo huo Tukumbuke opposite na chuo Cha TIA Kuna jengo ghorofa kadhaa liko kwenye finishing na Kuna Ile facility ya wasabato yaani jengo lao la ukumbi wa mikutano. Sura na muonekano wa maeneo haya nauona kivingine sana baada ya miaka kadhaa ijao.
Naona kama stendi ikiondolewa kutapafanya papooze sanaSoon buzuruga na nyakato zitakuwa poa sana. Mosi, uwepo wa jengo la TMDA umenogesha sana eneo Hilo, pili uwepo was buzuruga plaza na tunasubiri ujio wa buzuruga commercial complex na Ile project ya MIC. wakati huo huo Tukumbuke opposite na chuo Cha TIA Kuna jengo ghorofa kadhaa liko kwenye finishing na Kuna Ile facility ya wasabato yaani jengo lao la ukumbi wa mikutano. Sura na muonekano wa maeneo haya nauona kivingine sana baada ya miaka kadhaa ijao.
Neno hilo, labda wa design kituo kikubwa cha Daladala za maeneo yote ya jiji na soko liboreshwe.Hivi kuhamishwa kwa stendi huoni kama kutapafanya papoe hayo ya maeneo na vipi kuhusu mustakabali wa biashara zilizopo hapo ambazo zilikuwa zinategemea hyo stand