The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hayo ndiyo walikuwa wanayataka
huyo masha ni mshkaji wake jk..si unajuwa ndio walimlipia karo ya masters ya riziwani university hapo uingereza...kwa hiyo baba mtu anataka kumlipia fadhila...KWANINI ASIMPE HATA U-HAUZI BOY HAPO IKULU awe anamsaidia kuchakachua
sii ITV tu bali mimi nipo Mwanza mabomu ni ya kufikia mji mzima hakuna amani kabisaKulingana na taarifa za ITV ni kuwa watu waliokuwa wanasubiri matokeo ya Ilemela na nyamagana wametawanywa na polisi kwa kutumia mabomu baada ya uvumilivu kuwashinda kusubiria matokeo na kuanza kurusha mawe.
latest ndo hizo kuwa watu wametawanywa kwa virungu na mabomuIlemela/Nyamagana latest zozote?
Una uhakika?Kikwete yuko hapa na mkapa inasemekana yupo hawataki kusaini matokeo rakini Masha na Diaro wameshaanguka vibaya