Mwanza barabara kikwazo (Ilemela imekithiri)

Mwanza barabara kikwazo (Ilemela imekithiri)

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,073
KUelekea uchaguzi mkuu, Mwanza kama zamani za miaka ya 2000, tatizo limebaki kuwa barabra zetu. Miaka hiyo nimekumbuka barabara ya city centre to Airport, ilikuwa kichomi cha hatari.

Leo Mwanza barabra bado ni tatizo kubwa, Kishiri-Buhongwa, Igoma Kishiri, Kishiri Fumagila, Buhongwa -Bulale, Buswelu-Busenga-Coca, Buswelu-Kahama, Airport-igombe-Kayenze, Nyakato - uswelu, Buzuruga-Mahina, Mahina-Bugando, Mahina -Nyangukukuru-Mkuyuni, Mahina-VicFish/Mwatex, Buswelu-Nyamhongolo-Igoma, Nanenane Ndofye Kishiri.

Barabara zote hizo ni tope na zinapitika kwa shida mawe makubwa sampo zinapasuka, barabara zote hizo zipo kwenye wastaniwa radius ya 8km tu kutoka city centre.

Swali ni je Angelina, Serikali kuu bado mnafikiria jiji lenye tope na barabara zisizopitika? Ile ya Nyakato Buswelu, Shule ya msingi Gedeli inakula vumbi kuliko masomo, kweli?

Hivi bajeti ya Manispaa ya ilemela ni chai, safari na posho tu? maana hakuna barabara hata moja mmejenga kama manispaa, ipi? kiseke ni worldbank. barabara ipi tangu muwe manisapaa imejengwa?
 
Gedeli wanakula Vumbi balaa ula Wajenge ilalila mpaka isela kwa lami na nyamongolo buswelu pia
 
UKISEMA UKWELI WANAKUAMBIA WEWE NI MCHOCHEZI TU.
 
haswa!!umelenga penyewe,me nasubiri huo uchaguzi maana barabara ya kishiri-buhongwa Ni kubwa mno na inatumiwa na watu wengi sana since it's the only shortcut ya kufika buhongwa ikitokea kisesa au igoma inatumia Kama 15minutes tuu,lakini serikali yetu haioni Hilo,

Kuna issue ya umeme kutoka kishiri mpaka sawa ulipoishia Ni portion ndogo Sana lakini ni miaka 3 Sasa since the last phase of REA na wamegoma kumalizia kwa kisingizio kuwa eneo Hilo walichagua kiongozi wa chadema,... it's a nonsense.
ntatoa Kura kwa atakayeleta maendeleo kwenye eneo langu.. OVER!!
 
Mkuu afadhali umeliona na ww! Tena kama hii ya Igombe ndo shida kabsaaa. Yani kuna vigari vinaanzisha safari za mitaa X to town lkn kutokana na ubovu wa barabara vinasitisha safari zake. Hii ni kero kwa wananchi wa maeneo tofauti hapa jijini

Tukiachana barabara maji pia ni tatizo maji wameleta mwaka jana mitaa ya kuanzia tx, nyamwilolelwa, shibula na buryahula watu wakapigwa pesaa ila mpaka saiv tunachota maji kwenye visima huo siyo ufisadi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi naona kwa vile kuna uchaguzi ahead wameanza kutandaza nguzo katika mitaa fulani hivi hapa nyuma ya uwanja wa ndege ila naona ni siasa tu
haswa!!umelenga penyewe,me nasubiri huo uchaguzi maana barabara ya kishiri-buhongwa Ni kubwa mno na inatumiwa na watu wengi sana since it's the only shortcut ya kufika buhongwa ikitokea kisesa au igoma inatumia Kama 15minutes tuu,lakini serikali yetu haioni Hilo,

Kuna issue ya umeme kutoka kishiri mpaka sawa ulipoishia Ni portion ndogo Sana lakini ni miaka 3 Sasa since the last phase of REA na wamegoma kumalizia kwa kisingizio kuwa eneo Hilo walichagua kiongozi wa chadema,... it's a nonsense.
ntatoa Kura kwa atakayeleta maendeleo kwenye eneo langu.. OVER!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hayo mabarabara tunayoambiwa kila siku kuwa Magufuli anajenga ninyapi?
 
Mkuu mi naona kwa vile kuna uchaguz ahead wameanza kutandaza nguzo katika mitaa fulani hivi hapa nyuma ya uwanja wa ndege ila naona ni siasa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kukomaa nao tu kipindi Cha kampeni wakija na maneno yao ya kuomba Kura Ni kuwachana hakuna Kura bila kutimiza mahitaji ya wananchi ya muhimu
 
Duh! nimeshangaa kuona barabara ya Nyakato-Buswelu haijakamilika!!!

Mbona kuna kipindi walikuwa wanajenga barabara hiyo!!

Nimetoka mwanza miaka mi3 iliyopita nilijua imekamilika kumbe horaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
haswa!!umelenga penyewe,me nasubiri huo uchaguzi maana barabara ya kishiri-buhongwa Ni kubwa mno na inatumiwa na watu wengi sana since it's the only shortcut ya kufika buhongwa ikitokea kisesa au igoma inatumia Kama 15minutes tuu,lakini serikali yetu haioni Hilo,

Kuna issue ya umeme kutoka kishiri mpaka sawa ulipoishia Ni portion ndogo Sana lakini ni miaka 3 Sasa since the last phase of REA na wamegoma kumalizia kwa kisingizio kuwa eneo Hilo walichagua kiongozi wa chadema,... it's a nonsense.
ntatoa Kura kwa atakayeleta maendeleo kwenye eneo langu.. OVER!!
Hii ni stanislaus mabula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUelekea uchaguzi mkuu, Mwanza kama zamani za miaka ya 2000, tatizo limebaki kuwa barabra zetu. Miaka hiyo nimekumbuka barabara ya city centre to Airport, ilikuwa kichomi cha hatari.

Leo Mwanza barabra bado ni tatizo kubwa, Kishiri-Buhongwa, Igoma Kishiri, Kishiri Fumagila, Buhongwa -Bulale, Buswelu-Busenga-Coca, Buswelu-Kahama, Airport-igombe-Kayenze, Nyakato - uswelu, Buzuruga-Mahina, mahina-Bugando, Mahina -Nyangukukuru-Mkuyuni, Mahina-VicFish/Mwatex, Buswelu-Nyamhongolo-Igoma, Nanenane Ndofye Kishiri.

Barabara zote hizo ni tope na zinapitika kwa shida mawe makubwa sampo zinapasuka, barabara zote hizo zipo kwenye wastaniwa radius ya 8km tu kutoka city centre.

Swali ni je Angelina, Serikali kuu bado mnafikiria jiji lenye tope na barabara zisizopitika? Ile ya Nyakato Buswelu, Shule ya msingi Gedeli inakula vumbi kuliko masomo, kweli?

Hivi bajeti ya Manispaa ya ilemela ni chai, safari na posho tu? maana hakuna barabara hata moja mmejenga kama manispaa, ipi? kiseke ni worldbank. barabara ipi tangu muwe manisapaa imejengwa?
Ebo! Nyie watu wa Mwanza vipi? Mmefaidi sana keki ya taifa tangu mwanzo wa awamu hii ya tano, sasa subirini kidogo wenzenu wa Chato nao wafaidi!
 
kufaidi ni wa namna ipi mkuu, vumbi na kuua sample quide oil kumwagika na injini kunoki?

Ebo! Nyie watu wa Mwanza vipi? Mmefaidi sana keki ya taifa tangu mwanzo wa awamu hii ya tano, sasa subirini kidogo wenzenu wa Chato nao wafaidi!
ku
 
Back
Top Bottom