Mwanza: Baba amuua binti yake kutokana na kuchelewa kurudi nyumbani

Naungana mkono na wewe, bahati mbaya polisi wetu huwa hawatumii common sense, hapo watamng'ang'ania huyo Mzee mpaka wamfunge maisha au wamnyonge, ila ukweli ni kwamba ni kweli hakuna mzazi ambaye aweza kudhamiria kumuua mwanae wa kuzaa, lakini pia polisi hawahawa huwaoni hawajisumbui lolote pale ambapo wafuasi wa ccm wanapoua mtu tena kwa kwa makusudi na hadharani, kisa anaeuawa anapokuwa ni mkosoaji wa serikali ya ccm basi polisi hujitoa ufahamu na kukaa kimya, (double standard hii).
Siyo kazi ya polisi kuhukumu bali ni kazi ya mahakama kutoa hukumu polisi kazi yao ni kukamata na kumfikisha mahakamani kwa jinsi sheria inavyowataka,
Huyo mzazi kama mzazi ninamwelewa kuna muda unaweza kuwa umedhamilia kufunza ukajikuta unapitiliza na hili jambo linaweza kumtokea mtu yoyote.
 
Siyo kazi ya polisi kuhukumu bali ni kazi ya mahakama kutoa hukumu polisi kazi yao ni kukamata na kumfikisha mahakamani kwa jinsi sheria inavyowataka,
Huyo mzazi kama mzazi ninamwelewa kuna muda unaweza kuwa umedhamilia kufunza ukajikuta unapitiliza na hili jambo linaweza kumtokea mtu yoyote.
Mahakama itahukumu vipi kabla ya kupelekewa na polisi ?, hawa polisi ndio wa hovyo, hasa wale waandaa mashtaka, Hakimu si wa kulaumu, naona unatetea polisi
 
Hiyo ni kuua bila kukusudia. Amna kesi hapo sanasana atawekwa ndani siku mbili tatu zen anaachiwa.
 
Naungana mkono na wewe, bahati mbaya polisi wetu huwa hawatumii common sense, hapo watamng'ang'ania huyo Mzee mpaka wamfunge maisha au wamnyonge, ila ukweli ni kwamba ni kweli hakuna mzazi ambaye aweza kudhamiria kumuua mwanae wa kuzaa, lakini pia polisi hawahawa huwaoni hawajisumbui lolote pale ambapo wafuasi wa ccm wanapoua mtu tena kwa kwa makusudi na hadharani, kisa anaeuawa anapokuwa ni mkosoaji wa serikali ya ccm basi polisi hujitoa ufahamu na kukaa kimya, (double standard hii).
Polisi ndie anamfunga mtu jela au kumnyonga?
Mtu akifanya kosa lazima ashikiliwe na polisi wanamfikisha mahakamani sheria itafata mkondo wake, sasa povu zito kwa polisi sijaona kosa lao.
 
Sidhani kama ni busara kulaumu mzazi moja kwa moja wakuu.
Pengine yatupasa kwanza kujua historia ya familia na maisha waliyokuwa wakiishi kati ya mama/baba/watoto au mtoto.
Kwenye maisha kuna mambo mengi hasi ya kijamii na familia kwa ujumla.
Kuna muda mzazi akiangalia toto ameshalikanya kuhusu tabia za hovyo kwa muda mrefu lakini halisikii na ukiangalia undani mama anakuwa anamtetea bintiye.
Kuna wazazi wakiume kuendekeza pombe,wanawake,ugomvi ktk familia tena na watoto wakishuhudia, hii huchangia watoto kuleta dharau kwa baba haswa watoto wa kike.
Pia kwenye ngazi ya ukoo,familia na jamii kuna mambo ya kubebeshana zigo,unasukumiziwa shetani kwa nafsi yako kisha unatenda jambo baya halafu baada ya muda mpaka ww mwenyewe unaweza anza jiuliza umewezajee kufanya hilo, then unapotezwa mazimaa dah kaa chonjo sanaa na walimwengu na kaa ukijua dunia haina tatizo bali tatizo ni raia wenzetu tuu.
Nampa pole sana huyu ndugu aliyeua mtoto wake, Mungu ndiye anaehukumu.
Very pathetic.
 
Kama unazaa utaelewa wanao wakishakuwa wakubwa,kuna hii situation unajikuta unasomesha shule mtoto kwa gharama kubwa ukiamini unamuandalia maisha yake ya baadae ila unakuta hakuna anachokielewa zaidi Bodaboda mtaani wanamgombania na ukimkanya hakanyiki.

Sidhani kama mzazi nia yake ilikuwa amuuwe mwanae hapo ilikuwa ni zile adhabu za kawaida za kila siku ila ndo ilishapangwa litokee na limetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Facts mkuu.nilipokuw mdogo nilihisi kawaida tu,saiz yamenigeukia vitoto vya siku izi vitatuua mapema.kama sio pressure basi jela aisee😭😭
 
Mahakama itahukumu vipi kabla ya kupelekewa na polisi ?, hawa polisi ndio wa hovyo, hasa wale waandaa mashtaka, Hakimu si wa kulaumu, naona unatetea polisi
Kwa hiyo unataka polisi wasimpeleke? Yani wavunje sheria kwa kufanya maamuzi ambapo hiyo siyo kazi yao?
 
Back
Top Bottom