mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Nilivyoona tu wanajichanganya NAO.nikajua shughuli ishaisha.
Kwisha habari yao.
JWINGA anakaa na polisi.
Kwisha habari yao.
JWINGA anakaa na polisi.
porojo zingine bana dahAlikuwa ndani ya bajaji kama abiria, mbele bajaji ikasimamishwa na polisi kwa ukaguzi, askari wa JWTZ akashuka na sare zake akawa anamwamrisha polisi awaachie, polisi akagoma yule mwamba wa JWTZ akamsukuma polisi hadi akaanguka.
Baada ya kuinuka alimtembezea kichapo cha kufa mtu, mwanajeshi akaona isiwe kesi akaomba msaada dereva wa bajaji akaamulia jamaa damu puani, analia kabisa.
Sema wananchi ni wasengè sana wakawa wanacheka na kushangilia badala ya kuamua ugomvi.
Jana Kisesa tumeshuhudia show murua sana.
Ushauri: Wanajeshi waongezewe uwezo wa kujihami maana mshikaji kapigwa ngumi, kapigwa mateke kuna buti moja alirukiwa la puani nikajua anakufa.
Wito: Jeshi la polisi limkamate askari wake kwa kumpiga mwanajeshi wetu, lisije kukanusha habari hii na kuiita ni chai.View attachment 3519424

maskini dahAngemchania na magwanda yake huyo mgambo..!! Jeshi matopeni 🥹😹

Siku hizi baba kanituma hakuna kitu.i kuna mmoja nilikimbiza na ile stiki ya pool table ana bahati alunizidi mbioAlikuwa ndani ya bajaji kama abiria, mbele bajaji ikasimamishwa na polisi kwa ukaguzi, askari wa JWTZ akashuka na sare zake akawa anamwamrisha polisi awaachie, polisi akagoma yule mwamba wa JWTZ akamsukuma polisi hadi akaanguka.
Baada ya kuinuka alimtembezea kichapo cha kufa mtu, mwanajeshi akaona isiwe kesi akaomba msaada dereva wa bajaji akaamulia jamaa damu puani, analia kabisa.
Sema wananchi ni wasengè sana wakawa wanacheka na kushangilia badala ya kuamua ugomvi.
Jana Kisesa tumeshuhudia show murua sana.
Ushauri: Wanajeshi waongezewe uwezo wa kujihami maana mshikaji kapigwa ngumi, kapigwa mateke kuna buti moja alirukiwa la puani nikajua anakufa.
Wito: Jeshi la polisi limkamate askari wake kwa kumpiga mwanajeshi wetu, lisije kukanusha habari hii na kuiita ni chai.View attachment 3519424
TumepigwaHakuna picha, Hakuna video
Huyo atakuwa JW mdebwedoAlikuwa ndani ya bajaji kama abiria, mbele bajaji ikasimamishwa na polisi kwa ukaguzi, askari wa JWTZ akashuka na sare zake akawa anamwamrisha polisi awaachie, polisi akagoma yule mwamba wa JWTZ akamsukuma polisi hadi akaanguka.
Baada ya kuinuka alimtembezea kichapo cha kufa mtu, mwanajeshi akaona isiwe kesi akaomba msaada dereva wa bajaji akaamulia jamaa damu puani, analia kabisa.
Sema wananchi ni wasengè sana wakawa wanacheka na kushangilia badala ya kuamua ugomvi.
Jana Kisesa tumeshuhudia show murua sana.
Ushauri: Wanajeshi waongezewe uwezo wa kujihami maana mshikaji kapigwa ngumi, kapigwa mateke kuna buti moja alirukiwa la puani nikajua anakufa.
Wito: Jeshi la polisi limkamate askari wake kwa kumpiga mwanajeshi wetu, lisije kukanusha habari hii na kuiita ni chai.View attachment 3519424
Hii mbona mwanza Huwa inatokea mara NYINGI SANA ni kawaida mwanajeshi kichapwa WATU wanashinda makambini hawana mshike mshikeAlikuwa ndani ya bajaji kama abiria, mbele bajaji ikasimamishwa na polisi kwa ukaguzi, askari wa JWTZ akashuka na sare zake akawa anamwamrisha polisi awaachie, polisi akagoma yule mwamba wa JWTZ akamsukuma polisi hadi akaanguka.
Baada ya kuinuka alimtembezea kichapo cha kufa mtu, mwanajeshi akaona isiwe kesi akaomba msaada dereva wa bajaji akaamulia jamaa damu puani, analia kabisa.
Sema wananchi ni wasengè sana wakawa wanacheka na kushangilia badala ya kuamua ugomvi.
Jana Kisesa tumeshuhudia show murua sana.
Ushauri: Wanajeshi waongezewe uwezo wa kujihami maana mshikaji kapigwa ngumi, kapigwa mateke kuna buti moja alirukiwa la puani nikajua anakufa.
Wito: Jeshi la polisi limkamate askari wake kwa kumpiga mwanajeshi wetu, lisije kukanusha habari hii na kuiita ni chai.View attachment 3519424
Namlaumu polisi, kwanini hakumtoboa jicho moja huyo mvaa nguo za mabakamabaka? Hao wajeda wataanza kupigwa mpaka na wakina mama, ile uoga wao wa kumuogopa Abdul ndipo kila mja ameshawajua kuwa hawana lolote.Alikuwa ndani ya bajaji kama abiria, mbele bajaji ikasimamishwa na polisi kwa ukaguzi, askari wa JWTZ akashuka na sare zake akawa anamwamrisha polisi awaachie, polisi akagoma yule mwamba wa JWTZ akamsukuma polisi hadi akaanguka.
Baada ya kuinuka alimtembezea kichapo cha kufa mtu, mwanajeshi akaona isiwe kesi akaomba msaada dereva wa bajaji akaamulia jamaa damu puani, analia kabisa.
Sema wananchi ni wasengè sana wakawa wanacheka na kushangilia badala ya kuamua ugomvi.
Jana Kisesa tumeshuhudia show murua sana.
Ushauri: Wanajeshi waongezewe uwezo wa kujihami maana mshikaji kapigwa ngumi, kapigwa mateke kuna buti moja alirukiwa la puani nikajua anakufa.
Wito: Jeshi la polisi limkamate askari wake kwa kumpiga mwanajeshi wetu, lisije kukanusha habari hii na kuiita ni chai.View attachment 3519424
HahahaaaNamlaumu polisi, kwanini hakumtoboa jicho moja huyo mvaa nguo za mabakamabaka? Hao wajeda wataanza kupigwa mpaka na wakina mama, ile uoga wao wa kumuogopa Abdul ndipo kila mja ameshawajua kuwa hawana lolote.