Mwandosya awaangukia UKAWA

Mwandosya awaangukia UKAWA

Kama kweli Cheyo yupo bungeni kuwawakilisha watu wake, ilikuwa je akaikubali ile katiba ya CCM na kupinga maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Warioba!!

Aliteleza kidogo yuko pale kuwakilisha tumbo lake
 
Wanyantuzu noma, ukimsikia mnyantuzu kasema ''BIA'' usije ukadhani anataka beer. Akisema hivyo ujue hataki kabisa na ukilazimisha anakufyeka na shoka, majamaa kule yanasema ''mwaka ogo Ocheyo bia gete'' yaani hayamtaki kabisa.

Mkuu umenichekesha saana,hata Mimi Ni Mnyantuzu
 
MEANDU

Vipi mbona hakuna kauli ya wabunge wanaosubiria rais akikaribia kuaja kuhutubia bunge halafu wanatangaza kuacha wadhifa wao? Maana sidhani kama wengine pamoja na kuvuta kiinua mgongo hawatakuwepo bungeni. Na kipi muhimu wabunge 33 kupitisha mswada wa kuuza Tanzania au rais kuhutubia bunge? Tuangalia maslahi ya taifa si vyeo na mazagazaga yanayofanana nayo
 
Last edited by a moderator:
uprofesa aina hii ni kama uprofesa mwingine tu,karata tatu ukiweka hapa umeliwa,te teh.
 
Back
Top Bottom