Mwandosya awaangukia UKAWA

Mwandosya awaangukia UKAWA

hawana serikali kwaiyo hawana cha kupoteza ukawa wala hawana miradi ya maendeleo ya kusimamia
so acha waende tu.
 
Heading na content ni vitu viwili tofauti...

Linapotumika neno "kuwaangukia" maana yake kuwabembeleza, kuwasihi, kuwaomba....

Tumia vizuri maneno ya kiswahili...
 
Hivi mbona leo lumumba team hawaonekani jamvini tangu mchana?
 
Cheyo hana jimbo tena, nasikia manyantuzu yamemwambia ametosha maana hajafanya chochote jimboni kwake

Wanyantuzu noma, ukimsikia mnyantuzu kasema ''BIA'' usije ukadhani anataka beer. Akisema hivyo ujue hataki kabisa na ukilazimisha anakufyeka na shoka, majamaa kule yanasema ''mwaka ogo Ocheyo bia gete'' yaani hayamtaki kabisa.
 
ukweli movement hii inaendeshwa na Chadema. Hawakumsikiliza Rais anapoingia madarakani wamsikilie anapotoka madarakani?
 
MEANDU

Mwandosya na Cheyo must have taken leave of their faculties, Mwandosya anasahau ili kanuni au sheria ionekane effective shurti ivunjwe! Ukitunga kanuni wakaivunja itakuwaje Mwandosya?! Cheyo tangu afutiwe Deni LA nyumba, he has to tow the line, mchumia tumbo tu huyo, he has become yet another praise singer kama Aden Rage, Assumpta Mshama na Livingstone Lusinde, they are all mentally challenged, full mental blocks.
 
Last edited by a moderator:
Wapo dodoma kwa lowassa wanavuna mahela huko
 
Kama kweli Cheyo yupo bungeni kuwawakilisha watu wake, ilikuwa je akaikubali ile katiba ya CCM na kupinga maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Warioba!!
 
Profesa Mwandosya safi sana. Ukija kuwa rais uje uhakikishe mapungufu yote yanayopelekea hali hii hayatokei
 
Back
Top Bottom