Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
View attachment 1798
miaka kadhaa iliyopita Mwandosya alikwenda kumtembelea mwalimu Nyerere nyumbani kwake Butiama. Mwandosya alifuata nini kwa mwalimu?
View attachment 1798
miaka kadhaa iliyopita Mwandosya alikwenda kumtembelea mwalimu Nyerere nyumbani kwake Butiama. Mwandosya alifuata nini kwa mwalimu?
Asiee hapo nawaona kina Bnard Nzugu(mwenye Suti ya Blue),ambaye ni Afisa Tawala wa Iringa kwa sasa,Mmoja ya watu waliofanya kazi pale Mara kwa muda mrefu sana..Kwa kuwa namfahamu nitamtafuta na kumuuliza kama anakumbuka ni nini mwalimu aliwaambia wakina Mwandosya..
Mwandosya ni "Prominent figure" kuliko hao wenngine labda analingana na Joseph nyerere huyo aliye nyuma ya mwalimu. kwa kawaida hata bush alikuja na watu wengine zaidi ya 300 lakini aliyetajwa kwamba alikuja Tanzania ni yeye na siyo hao wengine 300!! Tafakari??!!
Kweli hapo NIDHAMU YA WOGA ILIKUWA WAZI!
Yani ni kama wako na MUNGU MTU!
Haswa haswa huyo mwenye suti nyeupe ya kijamaa!
Mwalimu alijitwisha mzigo wote wa kuliongoza Taifa na ndio maana baada ya kufa kwake linayumba!
NB:Huyo aliyeko kulia kabisa ni MUSEVENI,CHEYO...Ama macho yangu?
Maana Kinana ni light skin zaidi!
Sasa kila mtu akitoa picha na yale waliozungumza na MWALIMU NA SHERRIF HAMAD WA CUF MBONA HASIKILIZWI?
Ama hii nayo PROPAGANDA ZA KUMWAKILISHA Mwandosya?
Mtu aliyetayarishwa na mwalimu hatumtaki tena kwa ya MKAPA YAMETOSHA!
TUACHANE NA MAMBO YA ZAMANI NA TUJENGE TAIFA!
Tuzingatie tu UMOJA!
Hao wengine kama nilivyosema hapo juu ni viongozi wa serikali na CHama,nadhani kama ilikuwa Ziara Mwandosya akiwa waziriHiyo picha isingekuwa na Mwalimu ningesema alienda kutembea.. lakini jibu la swali mbona liko kwenye picha!? Lakini zaidi ni kuwa watu hao wengine sita walienda kutafuta nini Butiama, iweje swali lielekezwe kwa Mwandosya?
1992 Mwandosya akiwa naibu waziri wa Viwanda na biashara.
Hao wengine kama nilivyosema hapo juu ni viongozi wa serikali na CHama,nadhani kama ilikuwa Ziara Mwandosya akiwa waziri