Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,265
Oscar Kambona.
Kuna wakati ukitaka kumwangamiza mtu basi muhusishe na Kambona.
Hii ilikuwa baada ya Kambona kukimbilia Uingereza kufafuta hifadhi.
Namweleza Oscar Kambona:
MASAHIHISHO
Katika video nasema Mwalimu Nyerere aliondoka Dar es Salaam kwenda Butiama baada ya kuundwa kwa TANU.
Ulimi umeteleza.
Mwalimu aliondoka Dar es Salaam kwenda Butiama baada ya kuacha kazi.
Kambona akatumwa kwenda kumrudisha President wa TANU New Street.
View: https://youtu.be/u4dHCqHCbPI
Kuna wakati ukitaka kumwangamiza mtu basi muhusishe na Kambona.
Hii ilikuwa baada ya Kambona kukimbilia Uingereza kufafuta hifadhi.
Namweleza Oscar Kambona:
MASAHIHISHO
Katika video nasema Mwalimu Nyerere aliondoka Dar es Salaam kwenda Butiama baada ya kuundwa kwa TANU.
Ulimi umeteleza.
Mwalimu aliondoka Dar es Salaam kwenda Butiama baada ya kuacha kazi.
Kambona akatumwa kwenda kumrudisha President wa TANU New Street.
View: https://youtu.be/u4dHCqHCbPI