Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
<br />Hivi Kisheria ni nani mwenye Mamlaka ya kutangaza Kujiuzulu kwa Waziri??? <br />
<br />
Je Katiba na Sheria za Tanzania zinasema DIRA ya Mtanzania ndio litatangaza Kujiuzulu kwa Waziri ?<br />
Vp Ubunge nao atajiuzulu pia kama ni sababu za Kiafya!!!! na Ujumbe wa NEC je?<br />
<br />
mtu mwenye akili atajiuliza maswali haya...hataanza kuhusiha swala hili na mbio za 2015.
<br />
Kweli mkuu kama ni tatizo la kiafya aachie vyote