Paul Makonda ulifanya ziara nchi nzima na kuhitimisha kwa kusema umekuta nchi nzima inanuka dhuluma kutokana na wananchi kufanyiwa dhuluma kubwa na viongozi waliopewa dhamana katika ngazi za wizara, mikoa na wilaya hadi ukafika hatua ya kutoa machozi.
Jambo la kusikitisha sana tukio la mtanzania kupigwa mapanga 19 kule Nsimbo Mkoa wa Katavi ulimwambia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nsimbo anasubiri nini kuandika barua ya kujiuzulu kutokana na maagizo aliyotoa kupelekea wananchi kuuawa na kukatwa mapanga 19.
Nimeangalia Mkeka mpya wa MA DC na MA DED machozi yakanitoka kwamba yule DC wa Nsimbo hakutumbuliwa akaachwa hapo hapo na Mkurugenzi wa Nsibo badala ya kuwajibika amehamishiwa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza wakati Makonda ulishauri ajiuzulu.
Nimeona nikushauri Makonda ujiuzulu nafasi yako kwani ziara yako haijazaa matunda na dhuluma ulizozikuta zinahama wilaya ya Nsimbo kuhamia Wilaya ya Magu.
View: https://youtu.be/5mrYXIpQfQ0?si=GS3I34ycAq8SJeMN
Jambo la kusikitisha sana tukio la mtanzania kupigwa mapanga 19 kule Nsimbo Mkoa wa Katavi ulimwambia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nsimbo anasubiri nini kuandika barua ya kujiuzulu kutokana na maagizo aliyotoa kupelekea wananchi kuuawa na kukatwa mapanga 19.
Nimeangalia Mkeka mpya wa MA DC na MA DED machozi yakanitoka kwamba yule DC wa Nsimbo hakutumbuliwa akaachwa hapo hapo na Mkurugenzi wa Nsibo badala ya kuwajibika amehamishiwa Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza wakati Makonda ulishauri ajiuzulu.
Nimeona nikushauri Makonda ujiuzulu nafasi yako kwani ziara yako haijazaa matunda na dhuluma ulizozikuta zinahama wilaya ya Nsimbo kuhamia Wilaya ya Magu.
View: https://youtu.be/5mrYXIpQfQ0?si=GS3I34ycAq8SJeMN