Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
hali ya afya ya Prof. Haitii matumaini...anything ...its serious....though ilianza so simple...
Tehetehetehetehe!yeye alifanya hivyo?asipende kuwavunjia ndoa wenzake!nimeikumbuka hii:<b>Wanawake wanyimeni unyumba waume zenu kama watawaunga mkono wapinzani: Sofia Simba </b>
hali ya afya ya Prof. Haitii matumaini...anything ...its serious....though ilianza so simple...
Ndo maana labda anaumwa!pressure inapanda na kushuka!Anasubiri bajeti yake ipite tu,maana imejaa ufisadi sana....
Nashangaa sana kwa nini huyu mbunge wa Arumeru magharibi naye hajajiuzuru ubunge kwani tangu achaguliwe mwaka jana hata hakuapishwa na hajawahi kuhudhuria kikao chochote cha bunge.
Duhh, ngoja kwanza, Isije ikawa ile ya Makufuli.
<br /><span style="font-family: arial"><font size="3">Mbaya zaidi ni kuwa kanuni zinazohusu maslahi yao wanazitunga wenyewe kupitia ile kamati yao. Anaweza kuendelea kulipwa hadi 2015 bila kukanyaga bungeni hata siku moja. </font></span>
Hivi Kisheria ni nani mwenye Mamlaka ya kutangaza Kujiuzulu kwa Waziri???
Je Katiba na Sheria za Tanzania zinasema DIRA ya Mtanzania ndio litatangaza Kujiuzulu kwa Waziri ?
Vp Ubunge nao atajiuzulu pia kama ni sababu za Kiafya!!!! na Ujumbe wa NEC je?
mtu mwenye akili atajiuliza maswali haya...hataanza kuhusiha swala hili na mbio za 2015.
<br />
<br />
Ni kweli mbunge mzee Sumari hajaapishwa!?
hata hilo gazeti sidhani lina uhakika au wanaongea mambo ya kufikirika si juzijuzi tuu alikuwa kwenye maandamano Mbeya! I hope sio kweli labda nisikie kutokka Ikulu au at least magazeti yenye akili ila sio hilo.Dira ya Mtanzania chini ya kanjanja Charles Mulinda lini ikawa reliable source jamani? Tunasubiri official announcement kutoka Ikulu. Tunachojua Prof. bado yupo kwenye matibabu India na anasumbuliwa na tatizo la kansaya damu (Leukamia). Tunamuombea afya njema kama binadamu yeyote na si kufurahia mwenzio anapopigania uhai wake. He was not that bad guy wanajamvi!
<br />nasikia ni kwa sababu ya serikali dhaifu ya mkweleee na afya yake!<br />
SISI MAGAMBA TUNASEMA ANATAFUTA UMAARUUFU HUYU!
Ndo maana labda anaumwa!pressure inapanda na kushuka!
<br />nimeikumbuka hii:<b>Wanawake wanyimeni unyumba waume zenu kama watawaunga mkono wapinzani: Sofia Simba </b>