Mwandishi wakitabu cha history grade 6 kapotosha!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Kitabu cha historia cha grade 6 kilicho andikwa na Haruna K.Joseph kinapotosha historia ya nchi hii kwa sababu mbili picha zilizowekwa zinzmpoteza msomaji!na maelezo yake! Kaweka bendera ya taifa ya sasa anasema ni ya Tanganyika je mtoto akipewa swali linahusu bendera ya tanganyika akasema ndiyo hii ya tanzania atakuwa amekosea?wakati kwenye vitabu inaonyesha bendera ya taifa kama ndo bendera ya tanganyika?,pili National emblem of Tanganyika haikua na maneno yasomekayo UHURU NA KAZI!Je wanaoharibu elimu ni watunzi wa vitabu au mitahala?
 
Aisee! So much for paying attention. Mitaala inatoa mwongozo tu, nadhani mwandishi ndo anapaswa kujua cha kujazilizia. Kama una mtoto ungezungumza na mwalimu wake about this. Watoto watakua na sumu kichwani.
 
Suluhisho ni kukipiga marufuku kitabu hicho kisitumike basi.

Wanafunzi wajulishwe kutokukinunua na wasambaza wasisambaze.
 
Back
Top Bottom