Updates:
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu limemwachia kwa dhamana Mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru mkoani Simiyu,Costantine Mathias waliokuwa wamemshikilia tangu asubuhi kwa madai ya kusambaza mitandaoni picha ya askari wa jeshi kituo cha Mwamapalala akionekana akinywa bia huku amevaa sare.Ila bado wanashikilia simu zake zote mbili za mkononi.
Xxxxxxxxxxxx
Mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru *Constantine Mathias,* anashikiliwa na jeshi la polisi Mkaoni Simiyu.
Nineongea muda huu na Mwenyekiti wa Press club ya Simiyu Bwana Mwanga pamoja na Bi Severini naye ni mwandishi wa habari wamethibitisha uwepo wa tukio hilo.
Kosa analotuhumiwa nalo ni, matumizi mabaya ya mitandao, kufuatia kupost picha ya askari polisi wa kituo cha Mwamapalala (jina limehifadhiwa) akiwa anakunywa pombe akiwa amevaa sare za Jeshi la Polisi.
Kwa mujibu ya waandishi waliopo eneo la tukio mtuhumiwa bado yupo mikononi mwa polisi na tayari amechukuliwa maelezo yanayosubiri kusainiwa na Mwenyekiti wa Press club ya Simiyu. Hatufahamu nini kitaendelea baada ya kusainiwa maelezo yake.
Tunaliomba Jeshi la polisi kumwachia mwandishi huyo kwani, kwa mujibu wa sheria ya mienendo ya makosa ya jinai (CPA)ni haki ya mtuhumiwa kupewa dhamana.
*Nakala kwa*
*RPC Simiyu,*
*IGP* ,
*Taasisi za kihabari,*
*Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania,*
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu limemwachia kwa dhamana Mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru mkoani Simiyu,Costantine Mathias waliokuwa wamemshikilia tangu asubuhi kwa madai ya kusambaza mitandaoni picha ya askari wa jeshi kituo cha Mwamapalala akionekana akinywa bia huku amevaa sare.Ila bado wanashikilia simu zake zote mbili za mkononi.
Xxxxxxxxxxxx
Mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru *Constantine Mathias,* anashikiliwa na jeshi la polisi Mkaoni Simiyu.
Nineongea muda huu na Mwenyekiti wa Press club ya Simiyu Bwana Mwanga pamoja na Bi Severini naye ni mwandishi wa habari wamethibitisha uwepo wa tukio hilo.
Kosa analotuhumiwa nalo ni, matumizi mabaya ya mitandao, kufuatia kupost picha ya askari polisi wa kituo cha Mwamapalala (jina limehifadhiwa) akiwa anakunywa pombe akiwa amevaa sare za Jeshi la Polisi.
Kwa mujibu ya waandishi waliopo eneo la tukio mtuhumiwa bado yupo mikononi mwa polisi na tayari amechukuliwa maelezo yanayosubiri kusainiwa na Mwenyekiti wa Press club ya Simiyu. Hatufahamu nini kitaendelea baada ya kusainiwa maelezo yake.
Tunaliomba Jeshi la polisi kumwachia mwandishi huyo kwani, kwa mujibu wa sheria ya mienendo ya makosa ya jinai (CPA)ni haki ya mtuhumiwa kupewa dhamana.
*Nakala kwa*
*RPC Simiyu,*
*IGP* ,
*Taasisi za kihabari,*
*Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania,*