Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Achebe,pengine wewe ndio Ester,kama Waitara alikuwa na bastola mbona polisi hawakumkuta na silaha yoyote?na hata kama mwandishi alikosea,nani amewapa green guard,kundi haramu,mamlaka ya kujichukulia sheria mkononi?
Mkuu huyo hayuko igunga, kazi yake ni kuratibu uhalifu unaofanywa na green guard akiwa mbali kidogo.
Ni miongoni mwa wale waliopigwa marufuku na gamba kuu rostam kukanyaga igunga.
Btw; huyo mwandishi aliyechezea kichapo jina lake ni nani na je polisi wamewachukulia hatua za kisheria hao mungiki wa ccm?