..huyu muheshimiwa levy mwanawasa amekuwa na series ya afya mbaya tangu alipopata ajali mbaya ya gari hata kabla hajawa rais....amekuwa akipata stroke mara kadhaa....na kubwa aliipata miaka 6 iliyopita ambayo ilibidi alazwe london kwa muda ..hiyo stroke iliadhiri sana hata speech yake na alipatiwa SPEECH THERAPY.....
lolote litakalotokea ni MIPANGO YA MUNGU kwani .....ndiye anayemuweka hai hata sasa!
Habari niliyoipata ni kwamba ametobolewa kichwa kutolewa damu iliyovilia imeshindikana, wanataka kumpeleka france..Wanasubiri majibu toka huko kama atapokelewa.Tumuombee mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.