Wapoti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 2,824
- 1,099
mgonjwa ndio afungwe kibishi namna hiyo> huyo ni Shirima akiwa "njwiiii...".
wengine hawa hapa
mgonjwa ndio afungwe kibishi namna hiyo> huyo ni Shirima akiwa "njwiiii...".
wengine hawa hapa
dereva amevaa kofia kabisa hataki kutapikiwa.Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni,
Hakika nimekaa nikatafari namna hawa ndorobo wa rombo wanavyokuwa baada ya kunywa mbege.
Nb: ni utani tu..... kwa ndugu zangu kina "yeruwiiii".
![]()
Hawatakuelewa.nilishasema nikienda huko naenda na tube ya KY JELLY
Duh kweli jamaaa walipofikia ni pabaya