Labda huyo wa nyuma mgonjwa au mlevi hawezi kuji support
mgonjwa ndio afungwe kibishi namna hiyo> huyo ni Shirima akiwa "njwiiii...".
Kwakweli mzee Shirima atakuwa yuko bwii, ona jaketi lake lilivyochafuka, lazima kafungwa kiubishi hapo baada ya purukushani nyingi. Halafu mama yuko Kenya saa hii anatafuta mme wa kukodi.
Huyo mzee wa nyuma anaitwa SHAYO, namjua sana, mtu wa bwesaa kinoma.
Nasikia kuna jamaa Mwenye Bachelor degree in economics NAE in ndorobo
Mhhhh......neno hilo.
tafsiri plz
Wanawake wao wenyewe wana matatizo kwanini wachukue wanaume wa Kenya kwani tz wameisha
Warombo watajuta mwaka huu