ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,160
- 40,511
Uoga wako umaskini wako ohoooNaanzaje kumtembelea mjukuu 🤭
Wewe jitahidi uje mwenyewe, kwanza Mimi nimeshakuwa Mzee sana, siruhusiwi kutembea 🤪
Uoga wako umaskini wako ohoooNaanzaje kumtembelea mjukuu 🤭
Wewe jitahidi uje mwenyewe, kwanza Mimi nimeshakuwa Mzee sana, siruhusiwi kutembea 🤪
Wapo baadhi wanaishi kimazoea, pale changamoto inapokuja kujitokeza ndipo akili zinawarudi.Unaingiaje kwenye nyumba ya mwanamke wakati hata anayelipa Kodi humjui
Ukiwa unayejitambua, huwezi kuthubutu kukubali kwenda huko
Hilo ni andiko, kama halina ukweli ni muhimu kuchukua tahadhari.Heh hii ni maajabu
Upo sahihiHilo ni andiko, kama halina ukweli ni muhimu kuchukua tahadhari.
Siku hizi kuna operation maalumu ya kuwavua ubingwa vijana wa Kiume kupitia monde za bure, mafumanizi fake n.kWapo baadhi wanaishi kimazoea, pale changamoto inapokuja kujitokeza ndipo akili zinawarudi.
Baelezee 😛Kuna andiko nimesoma kwenye ukurasa mmoja mtandaoni, ukielezea changamoto inayowakuta wanaume wanaopenda mahusiano ya mteremko.
Atakuja mdada, na atakuwekea mazingira ya kukutaka kimahusiano, na huyo dada atakuwa anakuhudumia ili mradi uweze kunasa kwenye mtego.
Baada ya siku kadhaa kupita, na wewe kumuamini, atakualika uende nyumbani kwake.
Na ukishafika huko kwake na kuingia ndani, atafunga mlango na kutoa funguo, kisha watajitokeza wanaume wa kazi.
Kinachofuata hapo ni kukuharibu na kukurekodi, na wakishamaliza haja yao, wanaweza kukupa nauli au kiasi fulani cha pesa na kuondoka.
Kinachofuata kwako ni msongo wa mawazo, na kuendeleza walicho kuanzishia.
Mwanaume, kuwa makini.
Mkuu, darasani ulikuwa unashika namba ngapi?Pole mkuu nakushaur usiendelee hiyo ilikua ajar kazn
Hahaha.....hata Kiko yenyewe hutaki kunileteaUoga wako umaskini wako ohooo
Ubongo wako una GB ngapi?, inawezekana najibizana na kiaziKwakulawitiwa kiboya
Kama wewe unavyoogopa kukutana na kizazaa na mimi hivyo hivyo babuHahaha.....hata Kiko yenyewe hutaki kuniletea
Dunia ya sasa siyo ya kumuamini mtu
Nimeisoma hiyo makala jana, nikaona ni bora kushea huku pia.Umechelewa kupost aisee
Ukinialika kukutembelea, siji.Upo sahihi
Kupitia ukurasa huu, wanaweza kujifunza.Siku hizi kuna operation maalumu ya kuwavua ubingwa vijana wa Kiume kupitia monde za bure, mafumanizi fake n.k
Kwahiyo vijana wamakinike
Kwako siji, kama unanitaka njoo kwangu.Baelezee 😛
Kwa nini?Tusifuatiliane
Utakosa vingi mshinde huyo adui uogaUkinialika kukutembelea, siji.