Mwanaume, usipende mapenzi ya mteremko

Mwanaume, usipende mapenzi ya mteremko

Unaingiaje kwenye nyumba ya mwanamke wakati hata anayelipa Kodi humjui

Ukiwa unayejitambua, huwezi kuthubutu kukubali kwenda huko
Wapo baadhi wanaishi kimazoea, pale changamoto inapokuja kujitokeza ndipo akili zinawarudi.
 
Wapo baadhi wanaishi kimazoea, pale changamoto inapokuja kujitokeza ndipo akili zinawarudi.
Siku hizi kuna operation maalumu ya kuwavua ubingwa vijana wa Kiume kupitia monde za bure, mafumanizi fake n.k

Kwahiyo vijana wamakinike
 
Kuna andiko nimesoma kwenye ukurasa mmoja mtandaoni, ukielezea changamoto inayowakuta wanaume wanaopenda mahusiano ya mteremko.

Atakuja mdada, na atakuwekea mazingira ya kukutaka kimahusiano, na huyo dada atakuwa anakuhudumia ili mradi uweze kunasa kwenye mtego.

Baada ya siku kadhaa kupita, na wewe kumuamini, atakualika uende nyumbani kwake.

Na ukishafika huko kwake na kuingia ndani, atafunga mlango na kutoa funguo, kisha watajitokeza wanaume wa kazi.

Kinachofuata hapo ni kukuharibu na kukurekodi, na wakishamaliza haja yao, wanaweza kukupa nauli au kiasi fulani cha pesa na kuondoka.

Kinachofuata kwako ni msongo wa mawazo, na kuendeleza walicho kuanzishia.

Mwanaume, kuwa makini.​
Baelezee 😛
 
Siku hizi kuna operation maalumu ya kuwavua ubingwa vijana wa Kiume kupitia monde za bure, mafumanizi fake n.k

Kwahiyo vijana wamakinike
Kupitia ukurasa huu, wanaweza kujifunza.
 
Back
Top Bottom