Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 641
- 1,266
Habari wana wa humu.
Katika mahusiano mengi niliyopitia kuna kitu nimejifunza. Nataka kushare ili nijue kama nawe umeshawahi kuexperience hicho kitu.
Ipo hivi unakuwa na relationship na Mwanamke, anachofanya ni kuweka wivu juu yako kiasi Kwamba hataki kuona unawasiliana na jinsia ya kike yeyote.
Sometime hata ndugu yako kama hamjui basi atakuwekea mashaka. Mwanzoni nilijua duh haya ni mapenzi ya dhati. Lakini mbeleni nimegundua hii ni technique ya kuteka ufahamu wako, ili aweze kukucontrol.
Anachofanya ni kuhakikisha anacontrol mind yako. Endapo atafanikiwa kukutenga na watu anaowaonea wivu basi atakuwa yupo safe na penzi lake. Yeye Mwanamke anachotaka yeye awe na relationship na wanaume wengine lkn wewe husiwe nao.
Yeye anaamini Sisi tupo weak kwenye relationship. Hivyo anaamini akikupa mpenyo kidogo tu basi mapenzi kwake yataisha. Mwanamke haamini kama Mwanaume anaweza kustahimili many relationship lkn yeye Mwanamke anajiamini anauwezo wa kustahimili many relationship. Vice verse is true.. je wewe umejifunza nini?
Katika mahusiano mengi niliyopitia kuna kitu nimejifunza. Nataka kushare ili nijue kama nawe umeshawahi kuexperience hicho kitu.
Ipo hivi unakuwa na relationship na Mwanamke, anachofanya ni kuweka wivu juu yako kiasi Kwamba hataki kuona unawasiliana na jinsia ya kike yeyote.
Sometime hata ndugu yako kama hamjui basi atakuwekea mashaka. Mwanzoni nilijua duh haya ni mapenzi ya dhati. Lakini mbeleni nimegundua hii ni technique ya kuteka ufahamu wako, ili aweze kukucontrol.
Anachofanya ni kuhakikisha anacontrol mind yako. Endapo atafanikiwa kukutenga na watu anaowaonea wivu basi atakuwa yupo safe na penzi lake. Yeye Mwanamke anachotaka yeye awe na relationship na wanaume wengine lkn wewe husiwe nao.
Yeye anaamini Sisi tupo weak kwenye relationship. Hivyo anaamini akikupa mpenyo kidogo tu basi mapenzi kwake yataisha. Mwanamke haamini kama Mwanaume anaweza kustahimili many relationship lkn yeye Mwanamke anajiamini anauwezo wa kustahimili many relationship. Vice verse is true.. je wewe umejifunza nini?