nxcko
Member
- Mar 17, 2026
- 63
- 74
Hayo yapo sas tutafanyajeUnakuta innocent boy anatoa mahari kwa mwanamke used tena aliyetoa mimba 😎
Hayo yapo sas tutafanyajeUnakuta innocent boy anatoa mahari kwa mwanamke used tena aliyetoa mimba 😎
Hakuna la kufanya, n kumuomba Mungu akuepushe na huyo mtuHayo yapo sas tutafanyaje
Ndo hvyo yaani demu kapitiwa na mtaa mzima anakuaminisha mpaka unaaminHakuna la kufanya, n kumuomba Mungu akuepushe na huyo mtu
Tamaduni ya kitapeli inatakiwa tuivunje sikuhizi watu tumeelimikaMmmm ngumu kumeza hiyo mkuu hiyo tamaduni ipo enzi za mababu ko haiwez badilika
Karibu uraiani mkuuKweli kabisa wasitoe mahari na mimba mpeane wenyewe wala msiwape..!!
Hahaha hapo live mkuu ila itakuwa very toughTamaduni ya kitapeli inatakiwa tuivunje sikuhizi watu tumeelimika
Uraiani nipo kila siku mbona kiongoziKaribu uraiani mkuu
M'bongo ukimuuliza swali, naye anakuuliza swali. ☕🍵Mkuu hivi kwanini umejiita Benzodiazepine
what behind that name....
One by one wataelewa tuHahaha hapo live mkuu ila itakuwa very tough
Una fail sana hayo ni mawazo yenye hoja unaweza ukayapinga kwa hoja . We kwa akili ya kawaida kwanini utoe mahali kwenye kuoa ikiwa ndoa inafaida kwa woteUtoto raha.
Unawazungumziaje wale wanao panga dau kubwa kwenye kuozeshaMahari ina umuhimu hata kama unalipa 10k ila ina umuhimu.
Dau kubwa halipangwi tu out of blues, No, kunakuwa na sababu ya kuweka dau kubwa.Unawazungumziaje wale wanao panga dau kubwa kwenye kuozesha
Wazazi na wanandugu wanatakiwa wabariki tu inatosha na sio kumtoza pesa muoaji maana ndo inafaida kwa woteMmh! Kwa hiyo wasitowe mahari watowe nini?
Yote kwa yote haya mambo yapo tangia enzi na enzi huwezi kuyabadilisha kirahisi namna hiyo.