1. Usijaribu kumfia Mwanamke: Usivimbe kichwa kwa jinsi mwanamke anavyokusifia eti unamkuna kisawasawa,eti unajua mapenzi, au akikuambia jinsi unavyojali familia yao, au kwa jinsi unavyomhudumia. Hayo yote ni mbwembwe tu za kuhakikisha anaendelea kula mpunga wako na kujihakikishia security ya baadaye. Utakuja kujua kuwa hujui siku either huna nguvu umezeeka, au unaumwa ugonjwa ambao anajua kabisa huwezi kurudi normal, au huna hela umekuwa broke. Hapo ndo utajua sura halisi ya mwanamke.
2. Kazini kwako: Usijaribu kuifia taasisi. Fanya kazi ya watu kwa viwango vya kuridhisha ila ujue hakika, hata kama ulijinyima muda, nguvu na rasilimali zako kuhakikisha taasisi inafikia viwango vya juu vya ufanisi. Siku mafanikio hayo yanafikiwa wewe unakuwa umechoka unatupwa kama dampo no body never knows about you. Watakuja kukaa kwenye hicho kiti wajuaji, wapigaji ambao watajineemesha huku ukifa kwa majuto na mateso.
3. Wafanyakazi wenzako ofisini: Usijifariji kwa jinsi mnavyopeana kampani sasa hivi. Ni kwa sababu wanaona kuna vitu wananufaika kwa uwepo wako. Pata shida kazini, ugua ugonjwa mbaya, pata shida za kiuchumi na mengineyo. Unasahaulika haraka. Kuna mtu namfahamu alipata changamoto akasimamishwa kazi, baada ya muda fulani nilishuhudia watu wakidelete namba zake. Mungu si athumani kesi ikaendeshwa akaja kushinda akarudishwa kazini. Hao hao watu waliofuta namba zake ndio waliokuja kuzisevu tena na kujisogeza kwa jamaa. Kiufupi, kazi ndio inawaunganisha watu, bila hiyo kazi watu wanakudelete haraka.
4. Ndugu: Kuna watu wanateseka maisha yao kusaidia ndugu. Jambo la kushangaza hao ndugu wakija kufanikiwamambo yao na huku mambo yako yameenda mrama, hakuna wa kukusogelea tena, hakuna anayekumbuka fadhila zako. Kila mtu yuko bize na mambo yake.
Kwenye hii listi,unaweza kuongeza kipengele gani mwanaume mwenzangu?
2. Kazini kwako: Usijaribu kuifia taasisi. Fanya kazi ya watu kwa viwango vya kuridhisha ila ujue hakika, hata kama ulijinyima muda, nguvu na rasilimali zako kuhakikisha taasisi inafikia viwango vya juu vya ufanisi. Siku mafanikio hayo yanafikiwa wewe unakuwa umechoka unatupwa kama dampo no body never knows about you. Watakuja kukaa kwenye hicho kiti wajuaji, wapigaji ambao watajineemesha huku ukifa kwa majuto na mateso.
3. Wafanyakazi wenzako ofisini: Usijifariji kwa jinsi mnavyopeana kampani sasa hivi. Ni kwa sababu wanaona kuna vitu wananufaika kwa uwepo wako. Pata shida kazini, ugua ugonjwa mbaya, pata shida za kiuchumi na mengineyo. Unasahaulika haraka. Kuna mtu namfahamu alipata changamoto akasimamishwa kazi, baada ya muda fulani nilishuhudia watu wakidelete namba zake. Mungu si athumani kesi ikaendeshwa akaja kushinda akarudishwa kazini. Hao hao watu waliofuta namba zake ndio waliokuja kuzisevu tena na kujisogeza kwa jamaa. Kiufupi, kazi ndio inawaunganisha watu, bila hiyo kazi watu wanakudelete haraka.
4. Ndugu: Kuna watu wanateseka maisha yao kusaidia ndugu. Jambo la kushangaza hao ndugu wakija kufanikiwamambo yao na huku mambo yako yameenda mrama, hakuna wa kukusogelea tena, hakuna anayekumbuka fadhila zako. Kila mtu yuko bize na mambo yake.
Kwenye hii listi,unaweza kuongeza kipengele gani mwanaume mwenzangu?