D
Deleted member 485868
Guest
Uwiiiiii..niwacheeeee na punda wakoHahahahah aiseee . Njoo mie nayapunda.
Uwiiiiii..niwacheeeee na punda wakoHahahahah aiseee . Njoo mie nayapunda.
Haha sawa baki na dole gumba wako ...dunia usiioneUwiiiiii..niwacheeeee na punda wako
Nyangumi nyama yake itakua ngumu sana bora papahahaha samaki nyangumi baadaee ila cha kwanza ni kumla samaki papa
ndiyo mkuuBasi habari njema hiyo kwa wapendao kula papap
kweli samaki papa mtamu sanaaNyangumi nyama yake itakua ngumu sana bora papa
Na utamu wake unakolezwa na ulaini wa nyama yake na ile chumvichimvi kwenye minofu yakekweli samaki papa mtamu sanaa
Mi nakutaka ila siyo ndoaSawa Mkuu mtu akinitongoza akisema anataka kunioa simpi.
KumekuchaaaaMi nakutaka ila siyo ndoa
Wapi tena arifuKumekuchaaaa
Na utamu wake unakolezwa na ulaini wa nyama yake na ile chumvichimvi kwenye minofu yake
franceKumekuchaaaa
Nilijua tu jamaa wanachukua ndoofrance
wamestahili kabisaaaNilijua tu jamaa wanachukua ndoo
Timu yao ilikua imekamilikawamestahili kabisaaa
hakikaTimu yao ilikua imekamilika
figganigga nakupenda njoo unioeMungu awasaidie.
Nlikutongoza sana ukakataa. Siku ile ulinikimbia ukamuachia mtandio Kipaji Halisi wakati mimi nipo. Halafu nikasikia unamwambia akuletee nyumbani. Hata nlipotaka nikutongoze tena kipaji akanikemea, akanambia nikukome.figganigga nakupenda njoo unioe
halafu kipaji hapatikani kwa simu namtafuta kweli kweli nimpe,wewe nataka unioe banaNlikutongoza sana ukakataa. Siku ile ulinikimbia ukamuachia mtandio Kipaji Halisi wakati mimi nipo. Halafu nikasikia unamwambia akuletee nyumbani. Hata nlipotaka nikutongoze tena kipaji akanikemea, akanambia nikukome.
Ulimdengulia sana.. Unajua mwanamke ukiringa sana, hamu kwa mwanamume inakata anakuona kama dada tu. Kipaji kasafiri hayupo nchini. Mtumie PM. Ila Mungu kakubariki aisee.. Msalimie Mzigua90.. Namthamini sana mwambie.halafu kipaji hapatikani kwa simu namtafuta kweli kweli nimpe,wewe nataka unioe bana