figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #141
Penye nia pana njia.Karne hiii haya yanawezekana kweli
Penye nia pana njia.Karne hiii haya yanawezekana kweli
dahShake well b4 use natafuna sana mpka nimeoa,huo ushauri kma wa polepole yule sura ya zamani akili za mtoto
Weka njia mkuuPenye nia pana njia.
Hahahaaaaa Mimi sijuiNi kweli eti dawa nzuri ni le unayoifungua mwenyewe ukiwa umeshainunua na kwenda nayo nyumbani?
Hahahaaaaa Mimi sijui
Mitambo lazima itestiweungesema usifanye ngono mara kwa mara na mwanamke unaetaka kumuoa hapo sawa, ila kwamba nisifanye nae kabisaa!!, haingii akilini hiyo, kwanza haipo kabisa.
Hebu OA kwanza basi ndio mana unaongea mineno mingi lakini hujui lolote.Kama mpenzi wako wa kumuoa jicho lako linamuona kama mbuzi huyo hakufai tafuta mwingine. Halafu kama unaoa sababu ya kusex naye kumbuka sex inachosha na siku ukichoka ndo mwisho wa ndoa. Ndoa ni upendo na maisha. Ndoa ni taasisi. Sio uwanja wa kungonoka.
Kwahiyo mkuu hutaki ukweli useme sababu tuunakugusa au?Hebu OA kwanza basi ndio mana unaongea mineno mingi lakini hujui lolote.
Familia kibao zinaishi unakuja na ufunuo feki hapa.
sasa ona unavyotulitea wenzio vikwazo vya kiuchumi si uchune na mihekima yako aghhh come onSawa Mkuu mtu akinitongoza akisema anataka kunioa simpi.
ha haha hahaSiwezi uziwa mbuzi kwenye gunia..miwanaume ya siku hizi bila kuijaribu usikubali kabisa,utakuta lina uume umelegea kama mlenda sasa wa nini huyo
Sawa boss hakuna mbayaYaani mwasherati ukimwambia aache ngono anatamani akupige kofi. Au akukate mtama. Mkuu narudia tena, zinaa haifai. Ukitaka nipige tu
Kama ni bikra sawaa ndo mpango wa MunguKuna raha ya aina yake kuoa binti ambaye hamjawahi kufanya sex naye. Na hata heshima ya ndoa inakuwa kubwa