amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,992
tatizo hakuambii mengine kama hayuko nchini ndo nazidi kumpenda,bado nko nawewe nataka unioe Mzigua90 mtoto wa mjini utamuweza?Ulimdengulia sana.. Unajua mwanamke ukiringa sana, hamu kwa mwanamume inakata anakuona kama dada tu. Kipaji kasafiri hayupo nchini. Mtumie PM. Ila Mungu kakubariki aisee.. Msalimie Mzigua90.. Namthamini sana mwambie.