Ngono ni wajibu wa wanandoa wote kutimiziana kwenye ndoa

Kambi ya Fisi

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
13,479
21,953
Naanza kwa kukazia "Ngono ni wajibu wa kutimizwa kwenye Ndoa..."

Ngono katika ndoa sio fursa. Mpenzi wako ana HAKI kwa mwili wako - kisheria na kibiblia, hivyo ni makosa kunyimana.

Tambua kuwa ndoa inaweza kuvunjika kwa misingi ya ukosefu wa ngono pekee! Ngono katika ndoa ni wajibu wa kutimiza.

1 Wakorintho 7:3-4 - Mume na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mumewe.
Mke hana mamlaka juu ya mwili wake bali humkabidhi mumewe. Vivyo hivyo, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali anaukabidhi kwa mkewe.

Wakati pekee ambao wanandoa wanaweza kujiepusha na kujamiiana ni kwa ridhaa ya PAMOJA kwa muda maalum (1 Wakor 7:5).

Ikiwa hutaki ngono - hiyo ni haki yako - kaa mbali na ndoa!

Huwezi kuchagua ndoa na kuchagua kutofanya ngono. Ndoa ni chaguo la kufanya mapenzi na mwenzi mmoja wa maisha. Katika ndoa, hao wawili wanakuwa mwili mmoja (Mt 19:5). Hakuna Mwili, Hakuna Ndoa. Ndoa ni agano la ngono. Ni agano la NAKUFANYA - na wewe UNAFANYWA

NI MWENDO WA KUFANYANA TU!

Utabarikiwa kwa kutomnyima mpenzi wako.
 
Naanza kwa kukazia "Ngono ni wajibu wa kutimizwa kwenye Ndoa..."

Ngono katika ndoa sio fursa. Mpenzi wako ana HAKI kwa mwili wako - kisheria na kibiblia, hivyo ni makosa kunyimana.

Tambua kuwa ndoa inaweza kuvunjika kwa misingi ya ukosefu wa ngono pekee! Ngono katika ndoa ni wajibu wa kutimiza.

1 Wakorintho 7:3-4 - Mume na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mumewe.
Mke hana mamlaka juu ya mwili wake bali humkabidhi mumewe. Vivyo hivyo, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali anaukabidhi kwa mkewe.

Wakati pekee ambao wanandoa wanaweza kujiepusha na kujamiiana ni kwa ridhaa ya PAMOJA kwa muda maalum (1 Wakor 7:5).

Ikiwa hutaki ngono - hiyo ni haki yako - kaa mbali na ndoa!

Huwezi kuchagua ndoa na kuchagua kutofanya ngono. Ndoa ni chaguo la kufanya mapenzi na mwenzi mmoja wa maisha. Katika ndoa, hao wawili wanakuwa mwili mmoja (Mt 19:5). Hakuna Mwili, Hakuna Ndoa. Ndoa ni agano la ngono. Ni agano la NAKUFANYA - na wewe UNAFANYWA

NI MWENDO WA KUFANYANA TU!

Utabarikiwa kwa kutomnyima mpenzi wako.
Tafuta vifungu vya kupambana na maisha ili Ajira zizalishwe kabla hatujahamia Burundi ama uko biased and subjective na mapenzi
 
Naanza kwa kukazia "Ngono ni wajibu wa kutimizwa kwenye Ndoa..."

Ngono katika ndoa sio fursa. Mpenzi wako ana HAKI kwa mwili wako - kisheria na kibiblia, hivyo ni makosa kunyimana.

Tambua kuwa ndoa inaweza kuvunjika kwa misingi ya ukosefu wa ngono pekee! Ngono katika ndoa ni wajibu wa kutimiza.

1 Wakorintho 7:3-4 - Mume na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mumewe.
Mke hana mamlaka juu ya mwili wake bali humkabidhi mumewe. Vivyo hivyo, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali anaukabidhi kwa mkewe.

Wakati pekee ambao wanandoa wanaweza kujiepusha na kujamiiana ni kwa ridhaa ya PAMOJA kwa muda maalum (1 Wakor 7:5).

Ikiwa hutaki ngono - hiyo ni haki yako - kaa mbali na ndoa!

Huwezi kuchagua ndoa na kuchagua kutofanya ngono. Ndoa ni chaguo la kufanya mapenzi na mwenzi mmoja wa maisha. Katika ndoa, hao wawili wanakuwa mwili mmoja (Mt 19:5). Hakuna Mwili, Hakuna Ndoa. Ndoa ni agano la ngono. Ni agano la NAKUFANYA - na wewe UNAFANYWA

NI MWENDO WA KUFANYANA TU!

Utabarikiwa kwa kutomnyima mpenzi wako.
Kama wanaume wote wangefuata hiyo Aya,kusungekuwepo na kuchepuka
 
Naanza kwa kukazia "Ngono ni wajibu wa kutimizwa kwenye Ndoa..."

Ngono katika ndoa sio fursa. Mpenzi wako ana HAKI kwa mwili wako - kisheria na kibiblia, hivyo ni makosa kunyimana.

Tambua kuwa ndoa inaweza kuvunjika kwa misingi ya ukosefu wa ngono pekee! Ngono katika ndoa ni wajibu wa kutimiza.

1 Wakorintho 7:3-4 - Mume na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke na atimize wajibu wake wa ndoa kwa mumewe.
Mke hana mamlaka juu ya mwili wake bali humkabidhi mumewe. Vivyo hivyo, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali anaukabidhi kwa mkewe.

Wakati pekee ambao wanandoa wanaweza kujiepusha na kujamiiana ni kwa ridhaa ya PAMOJA kwa muda maalum (1 Wakor 7:5).

Ikiwa hutaki ngono - hiyo ni haki yako - kaa mbali na ndoa!

Huwezi kuchagua ndoa na kuchagua kutofanya ngono. Ndoa ni chaguo la kufanya mapenzi na mwenzi mmoja wa maisha. Katika ndoa, hao wawili wanakuwa mwili mmoja (Mt 19:5). Hakuna Mwili, Hakuna Ndoa. Ndoa ni agano la ngono. Ni agano la NAKUFANYA - na wewe UNAFANYWA

NI MWENDO WA KUFANYANA TU!

Utabarikiwa kwa kutomnyima mpenzi wako.
Naunga mkono hoja 👍👏👏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom