Mwanaume unapewa mara ngapi kwa mwezi?

Mwanaume unapewa mara ngapi kwa mwezi?

Zamani nilijua kuwa ukioa basi wewe ndio una uhalali wa kupewa peke yako maisha yote hakuna mwingine wa kumdokoa mkeo hadi ufe utoweke duniani ndio mkeo atachakatwa na wengine, kumbe maisha hayako hivyo. Una mke wako lakini kuna njema zinapakua mzinga kwa siri au wazi. Ndiyo haya ya kupewa mara moja moja huku mmelala kitanda kimoja kumbe mwenzako keshamaliza hamu nje! Isiwe taabu nawe toka nje kajilie mbususu huko, ukirudi homu mkeo akikukaushia hataki kutoa mzigo nawe unakausha huombi uroda, poa tu maisha yanaenda hakuna ugomvi ndani ya nyumba ngoma droo
 
Zamani nilijua kuwa ukioa basi wewe ndio una uhalali wa kupewa peke yako maisha yote hakuna mwingine wa kumdokoa mkeo hadi ufe utoweke duniani ndio mkeo atachakatwa na wengine, kumbe maisha hayako hivyo. Una mke wako lakini kuna njema zinapakua mzinga kwa siri au wazi. Ndiyo haya ya kupewa mara moja moja huku mmelala kitanda kimoja kumbe mwenzako keshamaliza hamu nje! Isiwe taabu nawe toka nje kajilie mbususu huko, ukirudi homu mkeo akikukaushia hataki kutoa mzigo nawe unakausha huombi uroda, poa tu maisha yanaenda hakuna ugomvi ndani ya nyumba ngoma droo
Hivi watu huwa wanaoana ili iweje? Au ili kujenga maadui wa kukua nao?
 
Kama penzi ni la gharama kubwa, mara tatu kwa mwenzi inatosha. Kuna mapenzi ya laki, milioni. Ukienda kila siku utafilisika na mwanamke hataridhika kwa hela hizo. Ila penzi la ndoani linatakiwa litolewe bure kila mwanandoa anapojisikia kufanya apewe tu maadam hakuna anayeumwa
 
watu wanaoana ili kupata tendo la ndoa kihalali na kwa uhuru, hakuna kuchangia penzi ndoani, pili ni kupata uzao/familia ya kuendeleza ukoo/undugu. Hizo ndizo sababu kuu za kuoana
Sasa mbona wakifika huko wanaanzisha vita bila sababu tu!
 
Kwani hapo umefanyaje?
Chini ya kila post kuna Thanks,quote na reply sasa nikibonyeza kwenye quote inaandika message quoted to multiple ila hata haionekani kama nimequote au wewe utaona kama nimekumention? Na nikitaka kumention members wa kutosha nafanyaje au simu yangu ni ndogo haina uwezo
 
Back
Top Bottom