Mwanaume uliyepo ndani ya ndoa kama huchezi mechi za nje eti kisa heshima kwa mkeo jitafakari mara mbili

kweli kabisa kabisa
 
Mkuu nimefatilia huu uzi comments zote moja baada ya nyingine na nilicho kiona hapa kinanipa sababu ya kukubaliana na wewe 100% kuwa wanawake wanajificha kwenye kivuli Cha wanaume kwa kila makosa wanayo yafanya.
Tamaa za pesa
Ubinafsi wao
Kujikweza
Tamaa zao za mwili
Tabia za kuzaliwa nazo
Ushawishi wa marafiki (mashoga zao) utasikia anasema animeolewa na juma ila kiukweli hisia zangu zipo kwa shabani.
N.k

Yaani makosa yao yote wanayo yafanya wanajiweka upande salama kisha zigo lote atupiwe mwanaume eti ndio sababu (utadhani wao ni robots na rimot kashika mwanaume).
Mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
 
Mkuu ndio wameaminishwa hivo tangu utoto huwezi wabadili fikra zao ila dawa yao ni kufata mkondo wa sheria unasemaje pale wanapokosea ila ukisema uwape sababu ya kujitetea utaona anavyokugeuzia kibao kiaina
 

Umalaya tu hamna lolote
 
Kuna ukweli hapa....Kuna wake za watu wawili muda wote wapo machoni mwangu na dalili zote za kukaribishwa! Mwanzo nilipenda, nikaona labda na mie ni 'handsome' baadae ikanitia simanzi... tatizo sijui nini!?
We wakatae tu mkuu itakusaidia kuwa safe zaidi achana na uhendisamu
 
Wacha nije nikushereheshe mie πŸ˜… ili nione kama kweli
 
Huu ni ukweli mchungu ila wanajificha kwenye kichaka cha Care!

Ile ya kwamba hanijali au sijui anifanyii uspesho wowote my friend, mwanamke ana hali ya kukinai tu na hili halina ubishi! Unaweza ukafanya yote ukampa pesa na vacations time na kila kitu ila kuna muda ataviona vya kawaida tu!

Atatamani tu mtu wa nje amuoneshe another type of treatment na hapo ndipo utaona uchizi wa wanawake! You can never satisfy them by 100% ukimtreat nicely atafikia stage anamiss harsh treatment so atafall kwa abuser so badly!

Na KE wengi ninaowahoji wao hufall in love na Alpha males ambao ni wanaume watata na wajanja wajanja tu sound mingi. Wapole hawawataki anakwambia mwanaume ambaye anakubali kila analotaka hampendi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wala hawatadumu anataka yule ambaye akimjambisha anatulia tuli!
 
Mwanamke anayechepuka kwa sababu ya kubadili ladha anakuwa na hulka ya umalaya,

Tunachepuka kwa kusababishiwa, niamini ukimpa mwanamke wako attention yako uwezekano wa kucheat Ni mdogo Sana au haupo kabisa,

Umenisikia wewe mwenye IQ ya bata
What a word of power! I like to treat you nicely missez cause i dont wanna miss anything that comes from your sweetness...Kwa utulivu wako naweza amini kwamba mtu anaweza kusababishia ajali πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Tatizo unafanya ngono zembe ndio yote hayo.....alafu mwanaume ukijiamin na kujipenda wala hutumii hela kuwapata hawa watu nakuambia. Kwanza mwanaume ukijielewa wanawake wataona kutembea na wewe ni kujitengenezea CV nzuri
Hahahaha kweli kabisa a Smart ass looking nigga pon di street! Wanawake wana trail tu ndipo nikaamini kweli wanawake sio pesa!
 
Ukiwa na uwezo wa kumega au kumegwa fanya hivyo. Maisha yenyewe mafupi. Mie nawavizia wake za watu walewe kwenye vigodoro,baikoko,vanga,matarumbeta na ngoma nyengine za asili ili nijigongee
Mwamba umetisha mzee! Kwahio timming ni kwenye vigodoro tu kmmmk ila angalizo huko ndio kuna umeme wa megawatt za juu kabisa! Usiache kutumia mipira
 
Kuna dem nilikuwa nae anapenda sana kucheki x ila ukimuona huwez mdhania ni mpole kichiziπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Yaani na chura wangu wa kunesa, hips za haja, guu la bia, rangi ya chungwa, baby face nikufate piemu wewe!!! Hebu kuwa na adabu basi
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ngumu kumeza hii! Tonge bila mboga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…