Ohhh, kumbe ndio maana ukaandika kupunguza maumivu? Pole sana!!!Ukweli mtupu unaumaaaa.
Sizitaki mbichi hizi afu wewe hakuna mwanaume mbaya aliye na pesa maana pesa yatakatisha kila aliye nayo.Ila kuzagamuliwa na mtu humpendi eti kisa pesa aaaah, mie mbna siweziiii naona km uhaini wa nafsi yangu
Mtu umpendee na umkubalii, kuna feelings fulaan zinakujaa aaaaah, woiiiiiiiih
Ila pesa tamu.
tena mimi ndo napenda sanaaa🤗Ndiyo mwapenda ela nyingi.....
zote tu napenda hadi zangu nazipendaZa wanaume siyo unapenda
........😅😅😅
Na watakujalii ujione Mswati90% ya Ke huwa wanakuwa single, mwanaume akiwa na mtonyo.
Taarifa fupi ni hii.
itakuaKama ndivyo tamaa ya fisi hii.
Mtu mwenye pesa atakuwa na marafiki,Pesa Sabuni ya Roho, Mtu mwenye pesa andika sio Mwenzio. Aliimba Rich One.
Mwanaume Ukiwa na Pesa na una familia Hata ukijieleza unaeleweka na unaonekana ni singoboi kabisa na Unapewa unachotaka.
Kosa Pesa hata Kwenye Ukoo hushirikishwi unapewa tu taarifa na ukihudhuria vikao wanakuletea kinywaji mirinda nyeusi hata bila kukuuliza utakunywa nini.