Mwanaume ukimhudumia mwanamke mapenzi yanakuwa matamu sana

Usiahangaike mkuu wewe mpe pesa tu akitoka pesa akakikaa pesa akilala pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu katika maisha usijitwishe kitu kama unahakika hauwez kumaintain au unafanya just kumridhisha siku ukiacha utapata tabu milawama isiyoisha
Ishi kama ulivyo mtu akupende the way ulivyo hata siku ukifanya ajue extra na sio mfumo wa maisha yako
 
Sina hakika sana kama wanaridhikaga.. ila ongeza juhud utafika unapotaka na utaona matokeo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…