EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Mkuu huo uhusiano ukibaki basi Mungu mwenyewe ndio anajua, maana tusiombe mabaya. Yaani mwanamke achepuke kwa tamaa ya mahitaji na bado ataendelea kuwa nayo na kapata "mfadhili" unategemea ataacha? Kumbuki kijana maskini atarudi kwao.Si mimi.. nmetoa tu incidence ya namna hiyo.. uhalisia naomaanisha ni huo wa binti kupendana na kijana.. na si wote wanaochepuka kuwa ni malaya au kamaanisha.. si rahisi..
1.0 Maskini
2.0 Yupo mbali
IMEISHA HIYO