Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 119,134
- 141,957
Japo maisha siyo kutesa kila siku ila pesa ndiyo kila kitu...Wakuu habari,
Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?