Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 1,832
- 3,479
- Thread starter
- #101
Asee!Maandiko yanaeleza :Ufu 2:10
Ufu 2:10 B
"Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima".
Elewa kuwa dhambi Haina excuse!!
Asee!Maandiko yanaeleza :Ufu 2:10
Ufu 2:10 B
"Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima".
Elewa kuwa dhambi Haina excuse!!
Kama injili...sio mkuu?Hafai ni kumwacha na kusonga mbele
Ila jf!😂😂😂🙌Hakuna upendo hapo
Wewe ni msaliti achana nakijana
He he! Chichemi kitu chacha.Mengine siri yetu mpenzi 😂😂😂 ila refer nyuzi zako😂😂
Shangaaa kama ninavoshangaaa,unachepuka kwa sababu za kijinga kama hizo afu unasema unampenda?Hivi unajua KUPENDA au UPENDO maana yake nini?
UPENDO ndani yake kuna (Shida na raha, uzima na ugonjwa).
Kinyume cha hapo hamna upendo na hakupendi.
Kwenye kosa la mwanamke no msamahaWakuu habari,
Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?
Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.
Sasa kijana wa kiume anagundua kuwa mpenzi wake ana mpenzi mwingine though mnapendana sana.. na ukijiangalia wewe wa kiume huna uwezo.
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?
Uhalisia ni kwamba binti anampenda sana kijana sema ndo ivo tu
NaamKama injili...sio mkuu?
Nimekuelewa sana.
Huwezi kusamehewa kwani uaminifu ni maaagano ya mapenzi jambo la kwanza na sio huo uchuuzi.
Uaminifu ukikosekana ni sawa na chakula kisicho na chumvi.
Shida ya mabinti hamna uvumilivu, mnataka kuishi maisha yasiyo yenu.
Point na ujinga vimeachana uzi mdogo sana, ukikosea point unatoa ujinga...Kuna mda unaongeaga point sana
Kweli achana nae tu unamtesa jamaa yetu..😜Ila jf!😂😂😂🙌
Lakini pia tusisahau kuwa uhalisia huyo binti hamfai huyo kijana ...kwakua ana hulka za kidangaji na tamaa kuliko kuwa na moyo wa subira ...hafai kua mke ...namshaur kijana aachane haraka sana na huyo mdangajiUhalisia ni kwamba binti anampenda sana kijana sema ndo ivo tu
Hua wanasema fimbo ya mbali haiuwi nyoka...Wakuu habari,
Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?