amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,369
nilikuwa na mpenz tuliyedumu miaka sita,bahat nzur nlpata ujauzito na nikazaa salama,isue inakuja baada ya kuzaa nilifaham kuwa jamaa kuna mwanamke kamzalsha pia na watoto wetu wamepishana miez 2.niliamua kuachana nae na sasa mtoto anamiaka mitatu na hajawah kumhudumia,cha ajab mwanamke wake anani2kana sana na huyo mwanaume anatangaza kuwa me namuomba ma2miz ya mtoto while iz not true.plz nisaidien niwajb nn hawa wa2 coz kla cku ni msg za matuc.blecings.