wanatuzidi kuchomwa sindano ya nyama, kuvuja kila mwezi, kubeba mimba, kunyonyesha.NK
'equality does not mean we are the same, also does not entail treating women as men or vice versa....... It means respecting each other as humans, inspite of and because of our basic differences!!!!!
Equality means that we are cherish and value the things that differentiate us as men and women' BAAAAASI!!!!!!! Mengine ni porojo tu!!!
Ni kweli wote tupo sawa just biological differences tu...mbona iko wazi hii?? Nilisoma abroad injiniaring,field ngumu kabisa top scorer wote walikuwa wadada!! Wametuzidi vingi tu, na wana IQ kubwa kuliko sie...na kuna msemo umezagaa siku ingawa siupendi lakini yabidi kuumeza tu..."Wanaume Suruali"
We ni wa kike?? Si kila ni kilaza kama wewe...na wamekuzidi wewe sio sisi!! Hata mungu alisema kuna tofaut kubwa kati ya me na ke!!
Mimi ninadhani wanawake na wanaume wanacompliment one another to make something whole.Ni kweli NN lakini kuna hichi kipengele Nadhani kitakuwa kinahusisha mambo ya IQ na development
Wana JF..
Jana kulikuwa na kongamano la wanawake na akina dada ambalo liliongozwa na Mkurugenzi wa ITV na RADIO ONE wanasema "mwanamke ni sawa na Mwanaume tena kuna Nyanja mwanamke kamzid mwanaume" je! Kuna ukwel wowote katika hili..
Sijui waliongelea mambo gani hata ikafikia hiyo usawa na upande!! Tukichukulia upana wa mambo nikweli kuna mambo wanatushinda; mifano (1) kudhibiti matumizi ya hela, (2) kujali muda wa kwenda kazini, (3) huruma (4) kuhudumia (5) Usiri juu ya mambo ya mapenzi (hawako wazi hata kama mtu kakuchoka hakwambii) (6) Wivu na mengine mengi....Wana JF..
Jana kulikuwa na kongamano la wanawake na akina dada ambalo liliongozwa na Mkurugenzi wa ITV na RADIO ONE wanasema "mwanamke ni sawa na Mwanaume tena kuna Nyanja mwanamke kamzid mwanaume" je! Kuna ukwel wowote katika hili..
Wana JF..
Jana kulikuwa na kongamano la wanawake na akina dada ambalo liliongozwa na Mkurugenzi wa ITV na RADIO ONE wanasema "mwanamke ni sawa na Mwanaume tena kuna Nyanja mwanamke kamzid mwanaume" je! Kuna ukwel wowote katika hili..
Point!...got that needle in the haystack!Mbona haya ni maradhi sawa na mengine tu si hata mtoto wako kuna kipindi anajiona yeye ni zaidi ya wewe baba yake mbona hata shetani alijiona ni sawa na mungu na wala haijakuwa kweli
Ni kweli wote tupo sawa just biological differences tu...mbona iko wazi hii?? Nilisoma abroad injiniaring,field ngumu kabisa top scorer wote walikuwa wadada!! Wametuzidi vingi tu, na wana IQ kubwa kuliko sie...na kuna msemo umezagaa siku ingawa siupendi lakini yabidi kuumeza tu..."Wanaume Suruali"[/QUOTE
Hahaha umenchekesha sana halafu sasa hao wanawake wenye IQ kubwa Mara nyingi ndo wanaangukia mikono ya wanaume suruali sijui kwa mini maskini!
46-45=1 😕 haka ka moja ndio kawe kitenzi kikuu